Kihiyo ni nani Kati ya hawa

ChescoMatunda

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2009
Posts
1,232
Reaction score
442
1;Aliesoma mpaka elimu ya juu na kufeli vibaya katika masomo yake... au 2; alieishia elimu ya chini na kujifanya kasoma mpaka elimu ya juu kumbe sio kafoji vyeti, ama 3;alieruka vidato na kufanya mtihani ya elimu ya juu Akafauli kwa kiasi cha kumzidi wa Kwanza na wa pili?? Tujadiliane tuu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…