1;Aliesoma mpaka elimu ya juu na kufeli vibaya katika masomo yake... au 2; alieishia elimu ya chini na kujifanya kasoma mpaka elimu ya juu kumbe sio kafoji vyeti, ama 3;alieruka vidato na kufanya mtihani ya elimu ya juu Akafauli kwa kiasi cha kumzidi wa Kwanza na wa pili?? Tujadiliane tuu....