Kihiyo ni nani Kati ya hawa

Kihiyo ni nani Kati ya hawa

ChescoMatunda

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2009
Posts
1,232
Reaction score
442
1;Aliesoma mpaka elimu ya juu na kufeli vibaya katika masomo yake... au 2; alieishia elimu ya chini na kujifanya kasoma mpaka elimu ya juu kumbe sio kafoji vyeti, ama 3;alieruka vidato na kufanya mtihani ya elimu ya juu Akafauli kwa kiasi cha kumzidi wa Kwanza na wa pili?? Tujadiliane tuu....
 
Back
Top Bottom