#COVID19 Kihongosi: Polepole uwe na nidhamu na adabu kama ulivyokuwa Awamu ya Tano

Huyu nae ni muda utaongea . Kwenye kesi ya sabaya mashahidi wanamtaja sana kama mfadhili wa sabaya .siyo mkuu wa polisI upelelezi wilaya na diwani ccm aliye vamiwa .lazima ataitwa nayeye
 
Analinda tonge lake huyo hana jipya!
 
Huyu Kihongosi mbona anatumia nguvu sana kupambana na wenzake!! Ila aweke akiba ya maneno maana hizi siasa Zina kurasa nyingi sana.
Anatakiwa awajibu kina zito na kina heche.
Umemshauri vizuri, asome wenzake na alama za nyakati akumbuke walikuwepo watu kabla yake.
 
Reactions: mmh
ka polepole katakuja kufukuzwa chama kakoswe pa kujishikiza hizi takataka sijui JPM aliziokotea wapi
Umehitimu 2016, ajira huna na unategemea kuajiriwa na serikali iliyowahi kuwa na takataka aina ya polepole😂.

Kati yako na polepole,ni nani anaeishi Tz kama takataka?
 
Umehitimu 2016, ajira huna na unategemea kuajiriwa na serikali iliyowahi kuwa na takataka aina ya polepole😂.

Kati yako na polepole,ni nani anaeishi Tz kama takataka?
wewe na pole pole mnaishi kama takataka😀😀 na wewe pia ni takataka
 
Kenan awe na maneno ya akiba, siasa ni mchezo wa ajabu sana,leo unang'ata,kesho unang'atwa na kutafunwa!

Polepole kwa kazi aliyokua nayo,anajua uhuni wote wa Chama,so kijana,Kenan awe na maneno ya akiba!
Zam kwa Sam wewe kenge,afu Kenan ni mkongwe kwenye siasa kuliko Polepole wenu
 
Basi wewe ni mgeni na ccm,uvccm huwa ni genge au wing ya kutisha watu uwe ndani ya chama au nje ilimradi watalinda maslahi si TU ya mwenyekiti bali na ya chama kwa namna yoyote.

Wanaotekaga na kuzingua watu ni akina nani? Kwa hiyo kama huwajui maccm kaa kimya yasije yakakufika
 
Tena na gwajima kwa kujifanya anahubiri wakati anatekeleza maswala ya kisiasa kinafiki kwa kutumia jukwaa la dini,watch out
 
Mbona Magu tuu alimpa msukosuka akaufyata unadhani mama anashindwa? Si anamsitahi tuu ila asivuke mipaka.

Sakata la Mbowe limewapa picha kwamba Maza sio wa kuchezewa
 
Huyo jamaa naye zoba tu.

Mzee Warioba amejitokeza na kuweka misimamo Yake kuhusu Katiba mpya ambayo inakinzana na ya huyo Mama yake ila hajaibuka na tamko lolote.

Kutaka watu wote wakubaliane na mama yake hata Kwa mambo ya hiari ni upumbavu.
Acha upumbavu wewe,Wapi mh Rais kasema anapinga Katiba?

Afu ushasema Mzee warioba ,yeye ni status tofauti kabisa na huyo mpuuzi wako.

Ni hivi enzi za vietell zimepita aufyate.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…