Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LAbda sijaeleweka. Na pengine sijaweka vizuri. Kuna ile kuwa official mtangazaji na kuwa mwandaaji wa kipindi fulani. Hata hapa kwetu (labda kwa hivi vituo vnavyoota kama uyoga) ni ngumu kumuweka mtu kuwa mrusha habari na ana lafudhi ya kabila fulani. Lazima kiswahili kinyooke. Pengine huyo mtu atakuwa ripota tu kama kina Maratu. Pengine kwa umuhimu wa huyo mtu kama ilivyo kwa Shaka, atapewa kusimamia kipindi fulani ila si kurusha habariShaka hawezi kuajiriwa BBC?na VOA anafanya nini
Unajua hawa watu wamejifunza lugha ya kiingereza kwa usongo inategemea walifundishwa kwenye watu wanaozungumza vipi, American or UK pengine Shigongo aliishi na wamarekani akajua hivyo alivyoongea, ni sawa na Mtanzania hata akiwa mzaramo akikaa Arusha muda mrefu ataongea kama wao. Ishu ya Mulugo na Membe imeniacha sina la kusema, jana kulikuwa na mahojiano na wageni kutoka BBC walitembelea Star TV mahojiano yalifanywa na Celin MWakabwale alikuwa anaongea kiswahili mkalimani anamtafsiria mgeni anamjibu kiingereza sasa kama ni elimu Celin ni gradute na hata kuongea kiingereza cha kiswahili alishindwa sijui tumlaumu mulugo au tujilaumu sisi wananchi class seven kaongea hivyo tumpongeze tu.
LAbda sijaeleweka. Na pengine sijaweka vizuri. Kuna ile kuwa official mtangazaji na kuwa mwandaaji wa kipindi fulani. Hata hapa kwetu (labda kwa hivi vituo vnavyoota kama uyoga) ni ngumu kumuweka mtu kuwa mrusha habari na ana lafudhi ya kabila fulani. Lazima kiswahili kinyooke. Pengine huyo mtu atakuwa ripota tu kama kina Maratu. Pengine kwa umuhimu wa huyo mtu kama ilivyo kwa Shaka, atapewa kusimamia kipindi fulani ila si kurusha habari
lakini Membe si ni mtaalamu kwenye kazi anayoifanya, ilitakiwa amudu lugha ya kitaalamu kwenye hilo eneo kuliko hata ya mtaani. Unless unajaribu kutuaminisha hata huo utaalamu hanaMahojiano ya membe yanahusu mambo ya kitaalam.. Mazungumzo ya diamond ni ya kawaida tofaut
Well,inatia moyo kuona waswahili sasa tunaanza kuwa majasiri wa kufanya interview za kiingereza(JAPO BROKEN) na hasa ujasiri huo unapofikia hatua ya kufanya interview katika vipindi vya TV vinavoangaliwa na watu wengi duniani kote.So,jana tar.30/9 nilimsikiliza Diamond akiamua kuwa jasiri na kupima uwezo wake wa kukimudu kimombo pale alipofanya interview ya kimombo na Mrembo Sporah Njau wa The Sporah Show kinachorushwa Clouds TV kutokea London.
Na wakati huu namsikiliza Eric Shigongo akifanya interview na presenter mahiri wa kipindi cha Straight Talk Africa,Prof Chaka Ssali wa The Voice of Africa.Nawapongeza kabisaaaaaa but man,we can still pick a hole or two in the interviews: (1).The guys are trying too hard to impress and to sound relevant,nafikiri wakati mwingine wasipanie au wasiwe na fikra kuwa ndugu zao tunaowaangalia huku tuwakome,i mean wafanye interview wakiwa totally focused on the issues raised in the interviews na wasitake tunaowasikiliza "tuwakome" (2).Sporah alizungumza Queen's English wakati Diamond alitaka watazamaji tuamini kuwa yeye ni Kanye West au 50 Cent.
Hivyo hivyo Eric Shigongo wants us to believe kuwa yeye ni wa mitaa ya Brooklyn New York wakati yeye ni Msukuma through and through....ninachosema,they need not fake their accent,mbona Chaka Ssali ni profesa na anazeekea Marekani lakini hathubutu kusema accent ya kimarekani?
Yeye bado anapiga kiingereza chake cha Kabale Uganda and he's doing good!Nasema hivi,wanastahili pongezi lakini wazungumze kiingereza cha kawaida tu wasitake kutafuna maneno kama kina Obama,kufanya hivyo kunawaboa viewers because for one,they are not fluent,sasa kama hauko fluent utatakaje kujiongelesha accent ya kimarekani,people!Wanigeria na Wakenya mbona wanaongea tu kivyao vyao and we have come to like Nigerian English'oooo,haven't we?
Hongera Diamond,hongera Shigongo,mna afadhali kuliko Mh.Membe,siku moja nilimsikiliza kwenye kipindi kilekile cha Straight Talk Africa niliboreka sana,sikuona tofauti yake na Mulugo
lakini Membe si ni mtaalamu kwenye kazi anayoifanya, ilitakiwa amudu lugha ya kitaalamu kwenye hilo eneo kuliko hata ya mtaani. Unless unajaribu kutuaminisha hata huo utaalamu hana
Unajua hawa watu wamejifunza lugha ya kiingereza kwa usongo inategemea walifundishwa kwenye watu wanaozungumza vipi, American or UK pengine Shigongo aliishi na wamarekani akajua hivyo alivyoongea, ni sawa na Mtanzania hata akiwa mzaramo akikaa Arusha muda mrefu ataongea kama wao. Ishu ya Mulugo na Membe imeniacha sina la kusema, jana kulikuwa na mahojiano na wageni kutoka BBC walitembelea Star TV mahojiano yalifanywa na Celin MWakabwale alikuwa anaongea kiswahili mkalimani anamtafsiria mgeni anamjibu kiingereza sasa kama ni elimu Celin ni gradute na hata kuongea kiingereza cha kiswahili alishindwa sijui tumlaumu mulugo au tujilaumu sisi wananchi class seven kaongea hivyo tumpongeze tu.
Hata hivyo sio lugha yetu hata kama angeongea kisukuma au kimanyema na kutafuta wakalimani nisingewashangaa daima dawamu.......chukueni 5
kweli hii kasumba inafanya watu wadharau cha kwao.sijui ni mfumo tuliojiwekea.ukienda kufanya interview mahali wakikuambia chagua kiswahili au kiingereza ninauhakika ukichagua kiswahili hupati kazi.wakati unaoenda kuwahudumia ni watu ambao hata kiingereza hawajui.ila kwa upande mwingine nivizuri kujua lugha nyingi kutokana na utandawazi.au ukiwa na plan za kufanya kazi kimataifa.hautakua na mkalimani kwa mfano ukiwa doctor hosp lazima ujue lugha ya hapo ya hiyo sehemu.ila tz lazima tubadilike.tunasujudu sana kiingereza bilasababu za msingi japo ni muhimu kukijua.Ivi hii kasumba ya kuongea kingereza itaisha lini hapa tz..tumekuwa brainwashed yani kwetu mtu anayejua kuzungumza kiingereza ndo msomi na aliyestaarabika...
ingependeza zaidi wangeongea kiingereza lakini kwa accent ya kwao.kama waganda na wakenya.mbona poa tu.accent nikama the color of your skin you can do nothing about it.sikumoja mwal wangualisema kilamtu anaaccent na kilamtu anajua hivyo so tusione aibu kuongea.hatauifiche vip itajitokeza tu.hasa kwa sie tulio kijulia uzeeni.cha msingi watoto wetu waanzishiwe mapema kama hatutaki wawe na accent. za kihaya kwa kuwapeleka international schools au marekan na kwingineko kama hatutaki hizi vituAnajitahidi kuongea na nimempongeza,issue inakuja anapotaka kujifanya yeye ni LeBron James au Shaquil O'neil