Kiingereza cha Diamond,The Sporah Show na kile cha Shigongo,Straight Talk Africa

Kiingereza cha Diamond,The Sporah Show na kile cha Shigongo,Straight Talk Africa

you have a point.... it's best to focus kwa interview instead of kujichetua mpaka point ya interview inapotea watu wanaanza kuconcentrate na broken badala ya dhana ya kipindi

That is it
 
Shigongo alikuwa anajitaidi kuongea kimarekan ila alifanya vizuri am inspired

Anajitahidi kuongea na nimempongeza,issue inakuja anapotaka kujifanya yeye ni LeBron James au Shaquil O'neil
 
Shaka hawezi kuajiriwa BBC?na VOA anafanya nini
LAbda sijaeleweka. Na pengine sijaweka vizuri. Kuna ile kuwa official mtangazaji na kuwa mwandaaji wa kipindi fulani. Hata hapa kwetu (labda kwa hivi vituo vnavyoota kama uyoga) ni ngumu kumuweka mtu kuwa mrusha habari na ana lafudhi ya kabila fulani. Lazima kiswahili kinyooke. Pengine huyo mtu atakuwa ripota tu kama kina Maratu. Pengine kwa umuhimu wa huyo mtu kama ilivyo kwa Shaka, atapewa kusimamia kipindi fulani ila si kurusha habari
 
Unajua hawa watu wamejifunza lugha ya kiingereza kwa usongo inategemea walifundishwa kwenye watu wanaozungumza vipi, American or UK pengine Shigongo aliishi na wamarekani akajua hivyo alivyoongea, ni sawa na Mtanzania hata akiwa mzaramo akikaa Arusha muda mrefu ataongea kama wao. Ishu ya Mulugo na Membe imeniacha sina la kusema, jana kulikuwa na mahojiano na wageni kutoka BBC walitembelea Star TV mahojiano yalifanywa na Celin MWakabwale alikuwa anaongea kiswahili mkalimani anamtafsiria mgeni anamjibu kiingereza sasa kama ni elimu Celin ni gradute na hata kuongea kiingereza cha kiswahili alishindwa sijui tumlaumu mulugo au tujilaumu sisi wananchi class seven kaongea hivyo tumpongeze tu.

Fikria mkuu,wanaoangalia TV sio.wazungu ndo maana.kiswahili kilitumika ili audience wote waelewe kipi kinachoendelea kwenye mdaharo
 
LAbda sijaeleweka. Na pengine sijaweka vizuri. Kuna ile kuwa official mtangazaji na kuwa mwandaaji wa kipindi fulani. Hata hapa kwetu (labda kwa hivi vituo vnavyoota kama uyoga) ni ngumu kumuweka mtu kuwa mrusha habari na ana lafudhi ya kabila fulani. Lazima kiswahili kinyooke. Pengine huyo mtu atakuwa ripota tu kama kina Maratu. Pengine kwa umuhimu wa huyo mtu kama ilivyo kwa Shaka, atapewa kusimamia kipindi fulani ila si kurusha habari

Maratuuuuuu,haha...OK,nimekupata
 
Shigongo alipiga ngeli kali na alijiamini sana kiasi kwamba alianza kupoteza lengo kwa kutafuta misamiati ming isiyonasababu mfano alisema alikuwa Dumbest in school, hapa hata shaka hakuelewa alikuwa anamaanisha nini mpaka alitotumia maneno ya kawaida, hivyo naungana na mtoa mada kuwa wasipanie sana.
 
Yaani...:

1.Watu waongee Kiingereza kwa lafudhi za makabila yao au...?
2.Lafudhi ya Kiingereza ya Shaka Ssali iwe mfano wa kuigwa...?
3.Matamshi ya Kiingereza cha Ki-Nigeria kiwe cha kupigiwa mfano...?

Sifa ya lugha yoyote ile inahitaji sana utamkaji wa maneno kwa usahihi kama wazungumzaji asilia wa lugha husika.

Maoni yangu kwa uchache:
Ulipaswa kuwatia moyo. Shigongo amejieleza wazi kabisa yeye ni darasa la Saba.Lakiniwenye hiyo 'video clip" hapo juu anastahili pongezi. Na amejibu maswali yake sawa na alivyo ulizwa, sana tu....
 
Mahojiano ya membe yanahusu mambo ya kitaalam.. Mazungumzo ya diamond ni ya kawaida tofaut
lakini Membe si ni mtaalamu kwenye kazi anayoifanya, ilitakiwa amudu lugha ya kitaalamu kwenye hilo eneo kuliko hata ya mtaani. Unless unajaribu kutuaminisha hata huo utaalamu hana
 
Nimeangalia video ya Shigongo... ni kweli ingekuwa better kama asingetumia accent ya kimarekani, lkn kwa education level yake yake kama mlivyoielezea hapa, kutumia accent sio kitu cha ajabu.
All in all, amejitahidi sana. Ni mfano wa kuigwa kwa achievement yake. Tumpe support
 
Dah Mulugo yupo wapi? Dah yule mshikaji bana,,,tehe tehe
 
Well,inatia moyo kuona waswahili sasa tunaanza kuwa majasiri wa kufanya interview za kiingereza(JAPO BROKEN) na hasa ujasiri huo unapofikia hatua ya kufanya interview katika vipindi vya TV vinavoangaliwa na watu wengi duniani kote.So,jana tar.30/9 nilimsikiliza Diamond akiamua kuwa jasiri na kupima uwezo wake wa kukimudu kimombo pale alipofanya interview ya kimombo na Mrembo Sporah Njau wa The Sporah Show kinachorushwa Clouds TV kutokea London.

Na wakati huu namsikiliza Eric Shigongo akifanya interview na presenter mahiri wa kipindi cha Straight Talk Africa,Prof Chaka Ssali wa The Voice of Africa.Nawapongeza kabisaaaaaa but man,we can still pick a hole or two in the interviews: (1).The guys are trying too hard to impress and to sound relevant,nafikiri wakati mwingine wasipanie au wasiwe na fikra kuwa ndugu zao tunaowaangalia huku tuwakome,i mean wafanye interview wakiwa totally focused on the issues raised in the interviews na wasitake tunaowasikiliza "tuwakome" (2).Sporah alizungumza Queen's English wakati Diamond alitaka watazamaji tuamini kuwa yeye ni Kanye West au 50 Cent.

Hivyo hivyo Eric Shigongo wants us to believe kuwa yeye ni wa mitaa ya Brooklyn New York wakati yeye ni Msukuma through and through....ninachosema,they need not fake their accent,mbona Chaka Ssali ni profesa na anazeekea Marekani lakini hathubutu kusema accent ya kimarekani?

Yeye bado anapiga kiingereza chake cha Kabale Uganda and he's doing good!Nasema hivi,wanastahili pongezi lakini wazungumze kiingereza cha kawaida tu wasitake kutafuna maneno kama kina Obama,kufanya hivyo kunawaboa viewers because for one,they are not fluent,sasa kama hauko fluent utatakaje kujiongelesha accent ya kimarekani,people!Wanigeria na Wakenya mbona wanaongea tu kivyao vyao and we have come to like Nigerian English'oooo,haven't we?

Hongera Diamond,hongera Shigongo,mna afadhali kuliko Mh.Membe,siku moja nilimsikiliza kwenye kipindi kilekile cha Straight Talk Africa niliboreka sana,sikuona tofauti yake na Mulugo

Mambo ya kumuita wife "He" huku anaweka accent ya kimarekani "you know, gonna"
 
lakini Membe si ni mtaalamu kwenye kazi anayoifanya, ilitakiwa amudu lugha ya kitaalamu kwenye hilo eneo kuliko hata ya mtaani. Unless unajaribu kutuaminisha hata huo utaalamu hana

Lugha ya kitaalamu na lugha ya mazungumzo ni tofauti
 
Unajua hawa watu wamejifunza lugha ya kiingereza kwa usongo inategemea walifundishwa kwenye watu wanaozungumza vipi, American or UK pengine Shigongo aliishi na wamarekani akajua hivyo alivyoongea, ni sawa na Mtanzania hata akiwa mzaramo akikaa Arusha muda mrefu ataongea kama wao. Ishu ya Mulugo na Membe imeniacha sina la kusema, jana kulikuwa na mahojiano na wageni kutoka BBC walitembelea Star TV mahojiano yalifanywa na Celin MWakabwale alikuwa anaongea kiswahili mkalimani anamtafsiria mgeni anamjibu kiingereza sasa kama ni elimu Celin ni gradute na hata kuongea kiingereza cha kiswahili alishindwa sijui tumlaumu mulugo au tujilaumu sisi wananchi class seven kaongea hivyo tumpongeze tu.

Kingereza na lugha zingine za watu wengine siyo ishu sana mkuu,,hakuna mahusiano kati ya kujua lugha na elimu ya mtu..tukipende Kiswahili chetu
 
Ivi hii kasumba ya kuongea kingereza itaisha lini hapa tz..tumekuwa brainwashed yani kwetu mtu anayejua kuzungumza kiingereza ndo msomi na aliyestaarabika...
 
Hata hivyo sio lugha yetu hata kama angeongea kisukuma au kimanyema na kutafuta wakalimani nisingewashangaa daima dawamu.......chukueni 5

utabaki kusema siyo lugha yetu wakati wengine wanatia bidii kujifunza na kuweza kungaa kimataifa. kujifunza kitu tofauti na ulicho nacho kunalipa. angalia Diamond anavyojitahidi hata anaweza kuongea na waandishi wa kimataifa bila mkalimali.
 
Ivi hii kasumba ya kuongea kingereza itaisha lini hapa tz..tumekuwa brainwashed yani kwetu mtu anayejua kuzungumza kiingereza ndo msomi na aliyestaarabika...
kweli hii kasumba inafanya watu wadharau cha kwao.sijui ni mfumo tuliojiwekea.ukienda kufanya interview mahali wakikuambia chagua kiswahili au kiingereza ninauhakika ukichagua kiswahili hupati kazi.wakati unaoenda kuwahudumia ni watu ambao hata kiingereza hawajui.ila kwa upande mwingine nivizuri kujua lugha nyingi kutokana na utandawazi.au ukiwa na plan za kufanya kazi kimataifa.hautakua na mkalimani kwa mfano ukiwa doctor hosp lazima ujue lugha ya hapo ya hiyo sehemu.ila tz lazima tubadilike.tunasujudu sana kiingereza bilasababu za msingi japo ni muhimu kukijua.
 
Anajitahidi kuongea na nimempongeza,issue inakuja anapotaka kujifanya yeye ni LeBron James au Shaquil O'neil
ingependeza zaidi wangeongea kiingereza lakini kwa accent ya kwao.kama waganda na wakenya.mbona poa tu.accent nikama the color of your skin you can do nothing about it.sikumoja mwal wangualisema kilamtu anaaccent na kilamtu anajua hivyo so tusione aibu kuongea.hatauifiche vip itajitokeza tu.hasa kwa sie tulio kijulia uzeeni.cha msingi watoto wetu waanzishiwe mapema kama hatutaki wawe na accent. za kihaya kwa kuwapeleka international schools au marekan na kwingineko kama hatutaki hizi vitu
 
Back
Top Bottom