Mambo ya kumuita wife "He" huku anaweka accent ya kimarekani "you know, gonna"
kwanini sasa domo aliongea kimombo?mbona interviews zilizopita aliongeha. kiswahili.au sporah show hairuhusu tena kiswahili.maanake washabiki wake wengi waswahili..sielewi sana kuhusu tv business. naomba kueleweshwa