Kanumba Steve
THEY ARE VERRY STRONG AND POWERFULL,THEY CONTROL D WORLD THE WAY THEY WANT,THEY R THE PRINCE OF THE WORLD...DO U KNW WHO R THEY?DNT MISS MY NEW MOVIE...''DEVIL KINGDOM''
na ndugu yake ray! Cjui ni kwa nn wavivu angalau kwenda kusomea hyo kazi yao, yaani hawajui! Wajifunze hata kwa JB
<br />Hawa wenzetu sijui kwanini hawaambiliki.Tumeshalijadili mno hili swala......<br />
<br />
Nani awaambie wasikie? Washauriwe wajikite kwenye lugha waliyoizoea kuwasilisha ujumbe wanaotaka kuuwasilisha kwa jamii.<br />
Inaeleweka kwamba kisa cha kung'ang'ania lugha ya "malkia' nikuingia soko la kimataifa.Wajue hakuna njia za mkato. Ama piga shule kieleweke, au tumia properly construed sentences kwenye scripts/subtitles.
Just wondering Dar university hawana kitengo cha performing arts?
<br />Ndio njia yakujifunza huwezi kujifunza bila kukoseja
na ndugu yake ray! Cjui ni kwa nn wavivu angalau kwenda kusomea hyo kazi yao, yaani hawajui! Wajifunze hata kwa JB
Na akomae tu hivyo hivyo na achukulie ukosoaji wa watu kama changamoto ya kutaka kujifunza zaidi. Binafsi namsifu kwa kuwa na ujasiri wa hata kuthubutu kuandika hayo anayoyaandika.