wewe ukifa lazima uuliweeeeeFatilia historia ya yule papa alopotea nakukutwa amekufa baada ya siku tatu.
Nani alimuua wakati Papa ndio MTU anayeongoza kwa ulinzi duniani akifuatiwa na US president???
Amna mtu anakosa raha Acha mambo yako iliyoleak niza Corruption ambayo Fransis kaweka sawa by the way RC ni taasisi kubwa inajidhatiti na ina mifumo yake umsikii papa akiomba msamaha wa yale yaliyofanywa na baadhi ya mapapa na Watumishi?????Hivi ni kweli zile Vatican very classified informations zilizoleak mpaka leo zinawakosesha raha baraza la papa
π±Jf kenedy aliuawa na freemasons iluminat
Teh tehJf kenedy aliuawa na freemasons iluminat
gusa hapa Vatican Inamiliki Dunia - JamiiForumsmaisha ya kiroho ya wafuasi zaidi ya bil.2 duniani yanaendeshwa na raia wa vatican wasiozidi 500,kuanzia papa/the holy see,makadinali,wanadiplomasia,walinzi au kazi nyingine za kanisa ....
roman catholic ni zaidi ya tuijuavyo..
Best informer of Vatican CIA gusa hapa Vatican Inamiliki Dunia - JamiiForumsBest informers wa CIA ni Roman Catholic
You don't know damn thing about Cuba,the majority of the population are Catholics there.NDO MAANA KUTOKUWEPO KWA CATHOLIC CUBA NA KOREA KASIKAN ,KUMEFANYA KAZI YA CIA KUWA NGUMU !!!.
NDIO MAANA MAHALI AMBAPO HAMNA CATHOLIC POPOTE PALE LAZIMA MAREKAN AMUONE NI ADUI .
REFERS... CHINA,,,CUBA,,,IRAN,,,,N.KOREA,,RUSSIA. N.K
Haunatofauti na Amberuth