Kiini cha mahusiano ya CIA na Vatican

Kiini cha mahusiano ya CIA na Vatican

Hivi ni kweli zile Vatican very classified informations zilizoleak mpaka leo zinawakosesha raha baraza la papa
Amna mtu anakosa raha Acha mambo yako iliyoleak niza Corruption ambayo Fransis kaweka sawa by the way RC ni taasisi kubwa inajidhatiti na ina mifumo yake umsikii papa akiomba msamaha wa yale yaliyofanywa na baadhi ya mapapa na Watumishi?????
Ufanye wewe mimi niogope kusema?😀😀😀😀😀😀😀😀
 
NDO MAANA KUTOKUWEPO KWA CATHOLIC CUBA NA KOREA KASIKAN ,KUMEFANYA KAZI YA CIA KUWA NGUMU !!!.

NDIO MAANA MAHALI AMBAPO HAMNA CATHOLIC POPOTE PALE LAZIMA MAREKAN AMUONE NI ADUI .

REFERS... CHINA,,,CUBA,,,IRAN,,,,N.KOREA,,RUSSIA. N.K
You don't know damn thing about Cuba,the majority of the population are Catholics there.
 
Kanisa linaamini ukifanya mapenzi nje ya ndoa ni dhambi ,wao hawaoi ni kweli hawafanyi mapenzi ? Hayo ni maagano gani ? Sio kinyume na Mungu ? Mungu alimletea Adam Mke ! Wao ni nani ? Wana mtego gani ? Baada ya kusoma falsafa na kupata mwanga bado unang'ang'ania hayo maisha ! Kulikoni ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom