Kiini cha mahusiano ya CIA na Vatican

Kiini cha mahusiano ya CIA na Vatican

Ukiambiwa kila.kitu hutokua mdadisi

Nenda tafuta mkuuu !!!... Link kibao zinaelezea Kennedy kuzaliwa mpaka kuuwawa..

** Ninaamini ktk marekan ambayo Papa hana usemi ndani yake **

Nibaadhi yamaneno ambayo aliyatoa Kennedy moja yaspeech yake.

Hapa Kennedy alidhihirisha kua kumbe upapa unasauti ndani yamarekani .

Nilidhani utaniambia Rais Kennedy alikiwa dini gani, ni katika kujifunza tu lakini, inawezekana kweli Dini yake ndio ilikuwa chanzo cha yeye kuawa?

Funguka kaka
 
Nilidhani utaniambia Rais Kennedy alikiwa dini gani, ni katika kujifunza tu lakini, inawezekana kweli Dini yake ndio ilikuwa chanzo cha yeye kuawa?

Funguka kaka
Mkuuu ,shortly niivi ,,JF Kennedy ndio rais PEKEE mkatolik kutokea marekan. ( km sijakosea ).

Mbali na ukatolik huo ,,JF Kennedy alikataa katakata kuongozwa na CIA ambayo kiuhalisia ni Vatican ... Nahii ndio ilomfanya Jamaa awe anatoa speech zaina Fulani ivi kuwaponda CIA na Upapa.

Sasa mpaka Leo ,,CIA wameshindwa kutoa nyaraka ambazo walitumia mabilion ya dollar kuzikusanya.


Donald Trump ,huyu wasasa sio mkatolik na hakubaliani nao kama ukifuatilia speech zake tangu kwenye kampeni...nandio maana Trump anatafutiwa kila njia atolewe madarakan maana washikaji wanamuitaji Pence kua Rais Wa nchi,, that's y unaona video mbalimbali zinatolewa zikionyesha Trump anafanyiwa assassination n.k .

J.F Kennedy na Trump wanafanya sana ktk mambo mengi hususan ktk tambulisho nyingi za siri.
 
Mkuuu ,shortly niivi ,,JF Kennedy ndio rais PEKEE mkatolik kutokea marekan. ( km sijakosea ).

Mbali na ukatolik huo ,,JF Kennedy alikataa katakata kuongozwa na CIA ambayo kiuhalisia ni Vatican ... Nahii ndio ilomfanya Jamaa awe anatoa speech zaina Fulani ivi kuwaponda CIA na Upapa.

Sasa mpaka Leo ,,CIA wameshindwa kutoa nyaraka ambazo walitumia mabilion ya dollar kuzikusanya.


Donald Trump ,huyu wasasa sio mkatolik na hakubaliani nao kama ukifuatilia speech zake tangu kwenye kampeni...nandio maana Trump anatafutiwa kila njia atolewe madarakan maana washikaji wanamuitaji Pence kua Rais Wa nchi,, that's y unaona video mbalimbali zinatolewa zikionyesha Trump anafanyiwa assassination n.k .

J.F Kennedy na Trump wanafanya sana ktk mambo mengi hususan ktk tambulisho nyingi za siri.

Ok, kumbe ndio Rais Pekee aliyekuwa Mkatoliki na aliuliwa na Wakatoliki wenzie, asante kwa Elimu mpya kwangu
 
Ok, kumbe ndio Rais Pekee aliyekuwa Mkatoliki na aliuliwa na Wakatoliki wenzie, asante kwa Elimu mpya kwangu
Unashangaaa tena nn hapo mkuu!!.

Mbn papa X aliuliwa nahao hao katolik????? .mbn papa Y alilazimishwa kujiuzulu nahapo hao katolik ??

Mkuuu embu fatilia vitu ..somaaa somaaa mambo mbalibali unganisha utapata maarifa yakujua namna gani tunaishi ktk dunia ambayo kalenda yamatukio imepangwa.

Anyway ,,ya Mungu tuachie Mungu nakaisar tumpe kaisar..dunia inamambo mengi sana mkuuu mwenyewe hata theluth yake nbado sijui.
 
Unashangaaa tena nn hapo mkuu!!.

Mbn papa X aliuliwa nahao hao katolik????? .mbn papa Y alilazimishwa kujiuzulu nahapo hao katolik ??

Mkuuu embu fatilia vitu ..somaaa somaaa mambo mbalibali unganisha utapata maarifa yakujua namna gani tunaishi ktk dunia ambayo kalenda yamatukio imepangwa.

Anyway ,,ya Mungu tuachie Mungu nakaisar tumpe kaisar..dunia inamambo mengi sana mkuuu mwenyewe hata theluth yake nbado sijui.

Asante kaka kwa habari zako za vijiweni za kuunga unga hapa na kule?, hivi nilipokuwa nakuuliza na kukusisitiza uniambie Dini ya Kennedy ulikiwa unajua kweli sifahamu?, kijana jitahidi kusoma pande zote acha mambo ya kijiweni
USA na Catholic wapi na wapi?
 
NDO MAANA KUTOKUWEPO KWA CATHOLIC CUBA NA KOREA KASIKAN ,KUMEFANYA KAZI YA CIA KUWA NGUMU !!!.

NDIO MAANA MAHALI AMBAPO HAMNA CATHOLIC POPOTE PALE LAZIMA MAREKAN AMUONE NI ADUI .

REFERS... CHINA,,,CUBA,,,IRAN,,,,N.KOREA,,RUSSIA. N.K
these are pure lies there are alot of catholics in China,same as in Russia wapo wa kutosha tu, kwa N.K ur right ,for Iran and Cuba i dont know.
 
Unashangaaa tena nn hapo mkuu!!.

Mbn papa X aliuliwa nahao hao katolik????? .mbn papa Y alilazimishwa kujiuzulu nahapo hao katolik ??

Mkuuu embu fatilia vitu ..somaaa somaaa mambo mbalibali unganisha utapata maarifa yakujua namna gani tunaishi ktk dunia ambayo kalenda yamatukio imepangwa.

Anyway ,,ya Mungu tuachie Mungu nakaisar tumpe kaisar..dunia inamambo mengi sana mkuuu mwenyewe hata theluth yake nbado sijui.
the problem of most people especially in Tanzania whatever conspiracy they find in the internet to them its a fact enough to use as a reference even in serious arguments.
People make money through these websites ,they compose a well formulated story that will please people like you.Just the matter of wewe kutoa hio reference na sisi tukasome ni success kwa hizo websites.
 
these are pure lies there are alot of catholics in China,same as in Russia wapo wa kutosha tu, kwa N.K ur right ,for Iran and Cuba i dont know.

Huyo Vladimirovich Putin , ni mtu wa story za vijiweni na website zilizojaa hoax tu, hakuna anachokijua kuhusu Kanisa Katoliki wala American History
 
Huyo Vladimirovich Putin , ni mtu wa story za vijiweni na website zilizojaa hoax tu, hakuna anachokijua kuhusu Kanisa Katoliki wala American History
brother mi sio mkatoliki but siwezi kuokota tuu whatever is written in the internet kuhusu ukatoliki na kuuleta hapa bcoz most of those websites authors wake ni very creative they are doing bussines kama ma novelist wengine tuu but ukiwa dull enough kuamini everything you read in the internet then its a fact hujaelimika
what ur saying ni ukweli most of them ni full of hoax...
 
Nafikiri umeandika kitu usichokijua vizuri
Unachoshindwa kuelewa tu kama kanisa halina maslahi na kitu chochote basi halipelekeshwi na yeyote labda tu kama kuna maslahi ya kanisa yatapotea hapo kanisa lishirikiana na yeyote
Ni kanisa pekee lisilopelekeshwa na yeyote kwa kuwa haliombi msaada kwa mtu hivi sasa

Na kingine nikuambie labda tu hujui namna uchaguzi wa kumchagua Papa ulivyo
Hata hao wanaochagua wenyewe wanakua hawajui ni nani atakuwa Papa maana maana anaweza kujichagua yeye mwenyewe pia


Dini za wazungu koko zitawamaliza kabisa.

Hakuna cha Kanisa wala msikiti au hekalu watu wanafanya biashara na siasa kupitia majina ya vitabu vilivyoitwa eti vitakatifu.

Papa hakuna cha moshi mweupe wala wa blue ule ni usaniii wa kiwango cha juu sana.


Mbona, Papa hajawahi kutoka Africa tangia karne zote hizo za RC church kuwepo duniani ina maana Mungu wa RC church hawajui au hawezi kuwachagua black popes from Africa?

Unajua ni kwa nini Papa anaishi Vatican city - Italy na siyo nchi yoyote yenye kanisa la RC,?

Au kwa nini Vatican city iwe makao makuu ya RC church na siyo Israel anaposadikiwa kuzaliwa Yesu!?


Any way, religion is the opium of the people.
 
Acha kupotosha ndugu hakuna mahali katika hii dunia catholiki haipo ipo kila mahali labda uniambie ushawishi wao ni mdogo

Leo ndiyo inaanza kuwa unavyoona wewe acha kuita wenzio kuwa ni waongo.

RC church haijawahi kuwa dunia nzima kabla ya karne ya 19.
 
comrade igwe ,

Umeandika Uzi mzuri sana ila wafia dini za wazungu koko hawatakuelewa.

Mfano, mdogo sana hadi kesho kama watu wanatakiwa kuelewa jambo na siri iliyopo kati ya CIA na Vatican city/ Pope angalieni na kufanya analysis wakati wa hizi chaguzi mbili.

Vatican city na Pope wanaweweseka sana wakati USA ikiwa inafanya uchaguzi wa Rais.


Pia, na USA / CIA inakuwa vivyo hivyo ni full kiwewe wakati wa kumpachika mtu wao pale Vatican city.

Naelewa hata hii hali ya kuweweseka aidha Vatican city/ Pope na USA/ CIA pana watu watapinga ila fatilieni mtaona na kuelewa..
 
Kajifunze lugha za watu kwanza

"Religion is the opium of people"



Wewe kwa leo nimekusamehe...huu uharo ulioandika nitaupita kama sijauona


Lugha na hayo maneno ni ya Karl Marx. Kama hutaki acha.


Ila dini ni ujuha na kupoteza muda zaidi, kutajirisha watu wachache huku wengi wakibakia kuimba na kurukaruka. Huku wakiwa maskini wa mwisho.

Any way, kama wewe ni mfaidika kwenye dini za wazungu koko Lazima utawatetea tu.
 
220px-William_Donovan.jpg

Jenerali William J Donovan "Wild Bill"

Baada ya vita ya kwanza ya dunia Marekani ilikua haijapata taasisi bora itakayo kusanya taarifa nzuri za kiuchumi na kisiasa katika kuijenga Marekani ndipo Rais wa Marekani miaka ya Franklin D. Roosevelt kwa kushauriana na shujaa wa vita kuu ya kwanza ya dunia Jenerali William "Wild Bill" Donovan kuanzisha taasisi inayoitwa office of Co-ordination of Informations ( COI ), mwaka mmoja baadae yani tarehe 11/julai/1942 ikaboreshwa ziadi na kuitwa OSS yaani office of strategy Services na jenerali William“Wild Bill” Donovan kuwa Mkuu wa taasisi hiyo hadi ilipobadilishwa tena mwaka 1945 kuwa Strategy Service Unit (SSU), mwaka 1946 ikabdilishwa tena kuwa Central Intelligence Group (CIG) na mwaka 1947 kuitwa Central Intelligence Agency yaani CIA.

Siku moja ya mwezi wa Julai mwaka 1944 wakati vita kuu ya pili ya dunia inapamba moto katika bara la Ulaya, wakati huo aliekua Mkuu wa huduma za kimikakati ya nje ya Marekani yaani OSS baadae kupitia maboresho mengi hadi kubadilishwa kuwa CIA Jenerali William “Wild Bill” Donovan alikutana na Papa Pius XII katika misa kubwa jijini Vatican, ndipo Papa Pius XII akamvalisha Jenerali Donovan zawadi ya msalaba mkubwa wa dhahabu ulioitwa " Grand Cross of the Order of Saint Sylvester" zawadi hii hutolewa kwa watu 100 tu duniani ambao wamelitendea kanisa katoliki mambo ya kupendeza,kulinda kanisa kwa hali na mali, msalaba huu ni zawadi ya juu kutoka ofisi ya Papa mtakatifu, alipewa zawadi hiyo kwa kuwa amelilinda kanisa katoliki dhidi ya hujuma za kinazi na kikommunist yaani alizuia kanisa katoliki kutodondokea mikononi mwa Wanazi wa komuninist wabaya, wakati huo wajerumani walikua katika jitihada za kutawala Ulaya Magharibi ili kusambaza propaganda za kikomunisti, ndipo Jenerali Donovan alikutana na mwasisi wa shughuli za kijasusi kanisa katoliki Ulaya kwa kifupi Pro Deo yaani Father Felix Morlion na kujadili mjini vatican jinsi gani ya wanaweza kuliepusha kanisa na wanazi wa ukommunist hasa wajerumani, ndipo jenerali William "Wild Bill"Donovan alimsaidia Father Morlion kuhamisha harakati za operesheni za kijasusi wa kanisa katoliki kutoka Ureno mji wa Lisbon mpaka sehemu za New York Marekani,Wakati huo kanisa katoliki lilihitaji kabisa kuzuia ukommunist ndipo Jenerali Donovan alipofadhili shughuli hizo za kuzima ukommunisti na sera zao uliokua unalinyemelea kanisa katoliki kutokana na mali nyingi za kanisa katoliki lilizochuma kupitia maajenti wake mbalimbali duniani, Jenerali William Donovan akijua fika kwamba fadhila hizo zitazaa matunda katika kulimulika kanisa katoliki na kupata taarifa za dunia nzima kupitia mapadri na watoa huduma za kiroho, kielimu, kiafya na kiuchumi watakaosambazwa duniani kupitia kanisa katoliki,Jenerali Donnovan alibashiri kwamba kwa wingi wa waumini wa kanisa duniani CIA wangeweza kuimulika dunia kupitia watu hao hata wawakilishi wa mapapa duniani kupata hata habari za dunia inavyopanga na kwenda, vilevile aliamini kanisa katoliki kupitia ofisi ya Papa ndio taasisi itakayopata habari nyingi na kila siku za haraka duniani kupita taasisis zozote zile duniani kupitia wahudumu wakaosambazwa kupitia ufadhili huo wa Jenerali Donovan ndani ya taasisi ya OSS yaani Office of Strategic Services, baada ya mafanikio ya kuzima ndoto za wakommunist kutimia na kufanikiwa kuunganisha taasisi zilizochini ya kanisa kupitia waumini na vikundi tajiri kama vile "The Knights of Malta" wenye mabenki, taasisi za utangazaji na makampuni makubwa ya tekinolojia na ufundi duniani

Father Morlion ndipo aliposambaza wahudumu wa kiroho duniani kote na kuisaidia CIA kupata habari kila siku na kila dakika duniani kutoka kwa mapadri na wahudumu wote habari hizo ziliratibiwa na sekretariet ya Papa huo ndio ukawa mwanzo wa mahusiano ya kupendeza kati Kanisa katoliki na CIA, hivyo basi baada ya vita kuu ya dunia CIA wakaendelea kufadhili taasisi zilizo chini ya kanisa katoliki kuwapenyeza mapadiri ili waitumikie CIA kwa manufaa ya Marekani, kuweka maajenti wake karibu na Papa ili asijaribu kubadili msimamo wa uhusiano kati ya CIA na Vatican hususani sera za kisiasa na kiuchumi duniani pia kujaribu kuchagua Papa mwenye msimamo mzuri hasa wenye maslahi ya Marekani na CIA.
Gusa hapa Vatican Inamiliki Dunia - JamiiForums
 
comrade igwe ,

Umeandika Uzi mzuri sana ila wafia dini za wazungu koko hawatakuelewa.

Mfano, mdogo sana hadi kesho kama watu wanatakiwa kuelewa jambo na siri iliyopo kati ya CIA na Vatican city/ Pope angalieni na kufanya analysis wakati wa hizi chaguzi mbili.

Vatican city na Pope wanaweweseka sana wakati USA ikiwa inafanya uchaguzi wa Rais.


Pia, na USA / CIA inakuwa vivyo hivyo ni full kiwewe wakati wa kumpachika mtu wao pale Vatican city.

Naelewa hata hii hali ya kuweweseka aidha Vatican city/ Pope na USA/ CIA pana watu watapinga ila fatilieni mtaona na kuelewa..
Gusa hapa Vatican Inamiliki Dunia - JamiiForums
 
Back
Top Bottom