Kijana achana na timu zisizokua na faida

Inasikitisha sana.
Tuna Vijana tena wasomi wa vyuo lakini thinking capacity kama ya "mende". Hata general knowledge tu ni shida. Wanajua faragha za "Wasanii" kuliko tafsiri za Kidiplomasia au kisiasa.

Hawajui leo katika Dunia ya ushindani wa kiuchumi taasisi zipi za kimataifa zinahusika.

Angalau siye zilipendwa tulijua kilimo cha kahawa au chai kinafanyika wapi na kwa nini, mito na maziwa makuu na faida zake nk. Tena hiyo ni shule ya msingi.

Kwa hakika "Vijana wa kileo" mnastahili "kutukanwa"



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa watu wenyewe fikiria eti marol modo wao ni mange na wema! Yai mwanaume mzima anajisifu kuwa miongoni mwa wanaomfolo mange na wema.

......
 
nje ya geti langu kuna kijiwe cha vijana.... yaani ni shida mda wote wanabishana....wanaanza na diamond na kiba asubuh... kisha wanaamia kwenye manchester na arsenal, wakichoka wanaamia kwenye bakhressa na mengi nani tajiri.. wakitoja hapo wanaamia kwenye wema na zarii... yaani ni shida kwa kweli...

na wengi ni ma graduate wanadai hawana ajira...

hapa nimenunua mbwa mkubwa kama fisi kibonge.... natafuta sababu tu mbwa akacheze nao siku moja.. naandaa mkakati wa kukiondoa hiki kijiwe
 
Kiba hawezi mshinda Diamond kwa Utajiri. Na Mond hana hiyo Mark unayosema.
Mtoa Mada unataka kutupiga fix.

Sent by Samson Cyper
 
Sure, uthibitisho kwamba hawafuatilii current issues ambazo ni muhimu ni mtihani wa usaili hapa juzi kule TRA wakaleta na uzi kabisa humu wanalalamika kweli kizazi kinaenda alijojo,define AGOA holaa! Who's Diamond's concubine hapo wanalo jibu, haya who's SADC's Chief Secretary...wanaojitahidi kufuatilia current issues wanasubiri MK,TL,BM,HP,JM & Co waseme halafu wao washabikie hawafuatilii mambo kwa kina...ukiuliza issue ya ACACIA ikoje holaa watakuambia 'nasubiri Noah yangu' dah!...vipi tusimulie unaifahamu COMESA? eer aah mmh holaa! ... Je ktk EAC Sudan Kusini ni mwanachama,kama ndio alijiunga lini na nani walimkubalia eeeh aaah holaa...halafu ukifeli usaili utasikia pale pana udini sijui wanapeana kwa kujuana...shubamajani,...blaif*kn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…