Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Jamaa muungwana sana huyo, eti aliandika 'kama unanidai nione kabla ya mchana wa kesho'. R.I.P Yego.
Yaani hadi hapo alipofikia maamuzi ya kujitoa uhai hakuwa amemtafuta Yesu? Yesu alikuwa chombo tu, MWANA wake Mungu. Ingekuwa waliomjua kwa undani, majirani na marafiki zake walikuwa wanafata mafunzo ya Yesu wangekuwa wamemnusuru kabla hajazamia kwenye shimo hilo la giza. Ukweli ni kwamba viongozi wa kidini na makanisa kwenye nyakati hizi sio hifadhi tena kwa vijana, sana sana wanaopitia mateso na wakati mgumu maishani. Siku hizi watu wanaenda makanisani kuwaombea mabaya 'maadui' zao na kuringiana kwamba nimebarikiwa zaidi ya yule. Badala ya kueneza upendo kote kote kwa wasiojiweza, wanaobeba mizigo mizito, mayatima n.k. n.k. Nikisikia mtu anakuja kwa jina la Yesu siku hizi huwa nampa kisogo na nakaa mbali naye.Vijana wasipo mtafuta yesu wataendelea kuisoma namba maisha yao yote
Sent using Jamii Forums mobile app
Dennis Yego (24) alimchoma visu mkewe na akajinyonga. Jumatatu saa mbili na dakika tano usiku, aaliandika “Rest in peace to me” kwenye ukurasa wake wa facebook. Dakika kadhaa baadae akaandika, kama unanidai nione kabla ya mchana wa kesho
View attachment 1362845
Walter Teno mwenyekiti wa eneo hilo alisema kijana huyo alimfuata kwa kuwasuluhisha kwa ugomvi aliokuwa nao na mkewe
Mwenyekiti ameshangazwa na tukio hilo kwa kuwa alidhani waliyamaliza. Alisema kijana huyo alimpiga mkewe visu vingi lakini hakufa kwa sasa yupo hospitali ya rufaa ya Kapsabet
Kamanda wa polisi alisema walikuta mwili wa kijana huyo kwenye mti na kijana huyo hakuacha waraka wowote
Chanzo: Daily Nation
😂 😂 😂 😂 😂Jamaa muungwana sana huyo, eti aliandika 'kama unanidai nione kabla ya mchana wa kesho'. R.I.P Yego.
Unataka watu waje kwa jina gan?Yaani hadi hapo alipofikia maamuzi ya kujitoa uhai hakuwa amemtafuta Yesu? Yesu alikuwa chombo tu, MWANA wake Mungu. Ingekuwa waliomjua kwa undani, majirani na marafiki zake walikuwa wanafata mafunzo ya Yesu wangekuwa wamemnusuru kabla hajazamia kwenye shimo hilo la giza. Ukweli ni kwamba viongozi wa kidini na makanisa kwenye nyakati hizi sio hifadhi tena kwa vijana, sana sana wanaopitia mateso na wakati mgumu maishani. Siku hizi watu wanaenda makanisani kuwaombea mabaya 'maadui' zao na kuringiana kwamba nimebarikiwa zaidi ya yule. Badala ya kueneza upendo kote kote kwa wasiojiweza, wanaobeba mizigo mizito, mayatima n.k. n.k. Nikisikia mtu anakuja kwa jina la Yesu siku hizi huwa nampa kisogo na nakaa mbali naye.
Waje kwa matendo yao sio jina, .....na kwa matendo yao tutawajua. Yaani imeandikwa hadi kwenye kitabu kitakatifu. Wazee wa ndemi na mathati nao wakasema kwamba chema chajiuza na kibaya chajitembeza.
Anapatikana wapi mkuu?Vijana wasipo mtafuta yesu wataendelea kuisoma namba maisha yao yote
Sent using Jamii Forums mobile app
Alitaka kuona rest in peace ilivyo kwenye picha yake. Hakika ameondoka kwa tabasamu
Bado akiona nyumba ni choo mate yanamdondoka. Kuoa haraka ni hatari baba kichwa bado kiteke na mke kichwa kiteke kabisaaaMiaka 24 ana mke ndio sababu ya wivu unaoa ukiwa bado akili ya kukabiliana na changamoto ndani ya nyumba haijakomaa madhara yake kujiua
Hujui hata kwa matendo yako bila Yesu Kristo ni kazi bure tu au hujuiWaje kwa matendo yao sio jina, .....na kwa matendo yao tutawajua. Yaani imeandikwa hadi kwenye kitabu kitakatifu. Wazee wa ndemi na mathati nao wakasema kwamba chema chajiuza na kibaya chajitembeza.