Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Dennis Yego (24) alimchoma visu mkewe na akajinyonga. Jumatatu saa mbili na dakika tano usiku, aaliandika “Rest in peace to me” kwenye ukurasa wake wa facebook. Dakika kadhaa baadae akaandika, kama unanidai nione kabla ya mchana wa kesho
Walter Teno mwenyekiti wa eneo hilo alisema kijana huyo alimfuata kwa kuwasuluhisha kwa ugomvi aliokuwa nao na mkewe
Mwenyekiti ameshangazwa na tukio hilo kwa kuwa alidhani waliyamaliza. Alisema kijana huyo alimpiga mkewe visu vingi lakini hakufa kwa sasa yupo hospitali ya rufaa ya Kapsabet
Kamanda wa polisi alisema walikuta mwili wa kijana huyo kwenye mti na kijana huyo hakuacha waraka wowote
Chanzo: Daily Nation
Walter Teno mwenyekiti wa eneo hilo alisema kijana huyo alimfuata kwa kuwasuluhisha kwa ugomvi aliokuwa nao na mkewe
Mwenyekiti ameshangazwa na tukio hilo kwa kuwa alidhani waliyamaliza. Alisema kijana huyo alimpiga mkewe visu vingi lakini hakufa kwa sasa yupo hospitali ya rufaa ya Kapsabet
Kamanda wa polisi alisema walikuta mwili wa kijana huyo kwenye mti na kijana huyo hakuacha waraka wowote
Chanzo: Daily Nation