Njoo tukujaribu kwa nini tuandikie mateHivi ukichomwa Na kisu tumboni unaweza kupona?
Acha masihara..Njoo tukujaribu kwa nini tuandikie mate
Kupitia JF nimeanza kujizoesha kuwa ukikubali demu sio wako peke yako utaishi kwa amani sanaHasira za nini na huku mbunye siyo mali yako.Vijana wa hovyo wana mabalaa sana.
Huwa inatokea mkuu
Usiwe na hofu tembea tu mradi hakikisha wanakuchoma utumbo, hautakufa.Sema su......nianze Kuwa natembea usiku confidently bila kuogopa vibaka
Acha kumdanganya huo ni uoga, wewe uliwahi kuchomwa ukafa?Njoo tukujaribu kwa nini tuandikie mate
Wakichoma wapi nakufa?Usiwe na hofu tembea tu mradi hakikisha wanakuchoma utumbo, hautakufa.
na huo ndio ukweriiKupitia JF nimeanza kujizoesha kuwa ukikubali demu sio wako peke yako utaishi kwa amani sana