Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Alivunjika ama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amemkabidhi Pikipiki mpya kijana Kusan Alex Dereva Bodaboda ambaye aliligonga gari la Mkuu wa Mkoa huyo October 31 2024 katika eneo la Chakechake Mkuyuni Jijini Mwanza.
Mtanda amebainisha kuwa kwa mujibu wa sheria za usalama barabarani Bodaboda huyo alikuwa na makosa lakini kama Kiongozi aliamua kumsaidia na kumlipia gharama za matibabu kiasi cha Tsh. milioni 12 katika Hospitali ya Kanda ya Bugando pamoja na kumnunulia pikipiki mpya ili arejee kwenye shughuli zake kama kawaida.