Kijana aliyehitimu masomo yake na mwenye taaluma au kipaji cha kuigiza anaanzia wapi?

Kijana aliyehitimu masomo yake na mwenye taaluma au kipaji cha kuigiza anaanzia wapi?

realMamy

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
3,925
Reaction score
8,853
Kumekuwa na Mwingiliano Mkubwa kiasi kwamba hatuelewi kinachoendelea.

Nani ni kiongozi wao?

Ofisi za Bongo movie ziko wapi?

Nani anahusika kuchagua waigizaji kunapotokea fursa na wanaangalia vigezo vipi?

Na je kama una kipaji unaanzia wapi au ndo ile uanze kujikomba na kutoa virushwa kidogo?

Sijaona popote ambapo panaonyesha kuwa unaanzia wapi? Zaidi ya kuwa na kampuni nyingi ambazl tayari ana watu wake.

Sasa kuna vijana wengi wanajua mambo ya Kupiga picha, kuedit, kuigiza na mambo mengi lakini hawajui wanaanzia wapi?

Nani awasaidie?
 
Kumekuwa na Mwingiliano Mkubwa kiasi kwamba hatuelewi kinachoendelea.

Nani ni kiongozi wao?

Ofisi za Bongo movie ziko wapi?

Nani anahusika kuchagua waigizaji kunapotokea fursa na wanaangalia vigezo vipi?

Na je kama una kipaji unaanzia wapi au ndo ile uanze kujikomba na kutoa virushwa kidogo?

Sijaona popote ambapo panaonyesha kuwa unaanzia wapi? Zaidi ya kuwa na kampuni nyingi ambazl tayari ana watu wake.

Sasa kuna vijana wengi wanajua mambo ya Kupiga picha, kuedit, kuigiza na mambo mengi lakini hawajui wanaanzia wapi?

Nani awasaidie?
Uliza mtu anaitwa Tivu akeeee.

Huyu na Mama Samia damdam, ni vile tu shule hana angelamba uteuzi, sasa fursa zote za Bongo Mavi zinapitia kwake.
 
Back
Top Bottom