Kijana aliyekataa ofa ya $5000 toka kwa Elon Musk apata ofa ya ajira

Kijana aliyekataa ofa ya $5000 toka kwa Elon Musk apata ofa ya ajira

KISIWAGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
8,022
Reaction score
16,563
Kijana Jack Sweeney aliyekuwa akitrack private jet ya tajiri namba moja Duniani Elon Musk amepatiwa ofa ya kazi kwa kampuni moja inayojishughulisha na masuala ya aeronautics

kampuni hiyo imeamua kumpatia kijana Sweeney ajira kutokana na uelewa wake wa masuala ya flight data

hata hivyo mpaka sasa bado haijajulikana kama kijana Sweeney ambaye bado yuko college kama ameikubali ofa hiyo au ataipiga chini kama alivyopiga chini ofa ya $5000 toka kwa Elon Musk
 
Ingekuwa kwetu saivi ningekuwa , keko tayari😅😅😅
Hata huko Marekani huenda angekuwa Chini ya Ulinzi wa CIA (hawachelewi kusema ana bibi kutoka Russia au ana urafiki facebook na binti wa Afghanistan); Ulizia Pioneers wengine katika nyanja hizo..., hii issue basi tu publicity na Elon hawezi akamshukia dogo asionekane bully.... ila hii ingeweza kuwa tofauti kama ilivyo sasa (ni basi tu public sentiments inamfanya Elon kulichukulia hili suala with kids Gloves)
 
Kijana Jack Sweeney aliyekuwa akitrack private jet ya tajiri namba moja Duniani Elon Musk amepatiwa ofa ya kazi kwa kampuni moja inayojishughulisha na masuala ya aeronautics

kampuni hiyo imeamua kumpatia kijana Sweeney ajira kutokana na uelewa wake wa masuala ya flight data

hata hivyo mpaka sasa bado haijajulikana kama kijana Sweeney ambaye bado yuko college kama ameikubali ofa hiyo au ataipiga chini kama alivyopiga chini ofa ya $5000 toka kwa Elon Musk
Elon musk kablock account inayomfuatilia kamblock na dogo pia na alimtumia ujumbe kuwa aliona sio sawa kumlipa ela kwa ajili ya kuifunga akaunti inayomfuatilia.
Musk bahiri kama nin 🤣
 
Back
Top Bottom