Kijana ambaye unaingia kwenye mahusiano zingatia hili

Kijana ambaye unaingia kwenye mahusiano zingatia hili

Mchafuu

New Member
Joined
Feb 29, 2024
Posts
4
Reaction score
13
Mwanaume ukijitambua vizuri utagundua kuwa,

Haitoshi kuamini unapendwa kwa kuambiwa au kwa text like "NAKUPENDA"

Mwanaume hapendwi bali anaheshimiwa, Bro ukiheshimiwa utapenda tu

Ndio maana we choose to marry mid girls with respect, hawa classy ladies tunatumia kama Path.

Manzi akikuheshimu kabisa

1. Hawezi cheat
2. Arguments zinapungua
3. Atakutaja popote bila aibu
4. Anakubali kuwa under control
5. Upendo ni 100%

Bros

Sex sio determinant ya kupendwa but Respect is.
 
Short and clear
Mwanaume ukijitambua vizuri utagundua kuwa,

Haitoshi kuamini unapendwa kwa kuambiwa au kwa text like "NAKUPENDA"

Mwanaume hapendwi bali anaheshimiwa, Bro ukiheshimiwa utapenda tu

Ndio maana we choose to marry mid girls with respect, hawa classy ladies tunatumia kama Path.

Manzi akikuheshimu kabisa

1. Hawezi cheat
2. Arguments zinapungua
3. Atakutaja popote bila aibu
4. Anakubali kuwa under control
5. Upendo ni 100%

Bros

Sex sio determinant ya kupendwa but Respect is
 
Cha kuzingatia hakikisha, hautokwi na akili kwa namna yoyote ile,
Ilewa neno hautokwi na akili
 
Back
Top Bottom