Kijana asemeshwa na koti aliloiba kwa Mzee Sumbawanga. Napendekeza huyo Mzee achukuliwe kisirisiri na serikali kusaidia baadhi ya Mambo yenye utata

Nawe poti acha kuchanganya habari na Siasa za CCM!
 
Mpeleke akapigiwe kura za kuwa alivyo sasa.
 
Achukuliwe akapewe kazi Hazina makao makuu
 
Achukuliwe akapewe kazi Hazina makao makuu
 

Ushirikina ni trade mark ya Tanzania ya CCM pekee
 
Hii kampuni ya habari ya IPP sasa hivi ni kama imejiishilia kabisa, huwezi kuamini kuna wakati iliwahi kuwa chombo serious cha habari katika nchi hii.

Hivi kweli hii ni habari ya kutangaza katika taarifa yao ya habari?!

 
Duh!
 
Hivi Mzindakaya bado yupo? Yeye alikuwa akienda kuhutubia anavua koti analitundika hewani na linatulia hapo mpaka aliondoe.

Hakuna mtu aliyekuwa anadhubutu kugombea ubunge jimboni kwake
 
Ili awasaidie pia kuiba kura oktoba??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…