Kijana asemeshwa na koti aliloiba kwa Mzee Sumbawanga. Napendekeza huyo Mzee achukuliwe kisirisiri na serikali kusaidia baadhi ya Mambo yenye utata

Kijana asemeshwa na koti aliloiba kwa Mzee Sumbawanga. Napendekeza huyo Mzee achukuliwe kisirisiri na serikali kusaidia baadhi ya Mambo yenye utata

Ndugu zangu Watanzania,

Hii Nchi yetu ina kila aina ya sayansi na wana sayansi. Huko Mkoani Rukwa wilaya ya Sumbawanga kumejitokeza jambo ambalo limenigusa sana .

Embu Soma habari hii👎View attachment 3233717

Huyu mtu alitakiwa achukuliwe kisirisiri na kupewa kila huduma anayohitaji ili awe maalumu kusaidia baadhi ya mambo mazito mazito😀😀.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Nawe poti acha kuchanganya habari na Siasa za CCM!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hii Nchi yetu ina kila aina ya sayansi na wana sayansi. Huko Mkoani Rukwa wilaya ya Sumbawanga kumejitokeza jambo ambalo limenigusa sana .

Embu Soma habari hii👎View attachment 3233717

Huyu mtu alitakiwa achukuliwe kisirisiri na kupewa kila huduma anayohitaji ili awe maalumu kusaidia baadhi ya mambo mazito mazito😀😀.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mpeleke akapigiwe kura za kuwa alivyo sasa.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hii Nchi yetu ina kila aina ya sayansi na wana sayansi. Huko Mkoani Rukwa wilaya ya Sumbawanga kumejitokeza jambo ambalo limenigusa sana .

Embu Soma habari hii👎View attachment 3233717

Huyu mtu alitakiwa achukuliwe kisirisiri na kupewa kila huduma anayohitaji ili awe maalumu kusaidia baadhi ya mambo mazito mazito😀😀.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Achukuliwe akapewe kazi Hazina makao makuu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hii Nchi yetu ina kila aina ya sayansi na wana sayansi. Huko Mkoani Rukwa wilaya ya Sumbawanga kumejitokeza jambo ambalo limenigusa sana .

Embu Soma habari hii👎View attachment 3233717

Huyu mtu alitakiwa achukuliwe kisirisiri na kupewa kila huduma anayohitaji ili awe maalumu kusaidia baadhi ya mambo mazito mazito😀😀.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Achukuliwe akapewe kazi Hazina makao makuu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hii Nchi yetu ina kila aina ya sayansi na wana sayansi. Huko Mkoani Rukwa wilaya ya Sumbawanga kumejitokeza jambo ambalo limenigusa sana .

Embu Soma habari hii👎View attachment 3233717

Huyu mtu alitakiwa achukuliwe kisirisiri na kupewa kila huduma anayohitaji ili awe maalumu kusaidia baadhi ya mambo mazito mazito😀😀.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Ushirikina ni trade mark ya Tanzania ya CCM pekee
 
Hii kampuni ya habari ya IPP sasa hivi ni kama imejiishilia kabisa, huwezi kuamini kuna wakati iliwahi kuwa chombo serious cha habari katika nchi hii.

Hivi kweli hii ni habari ya kutangaza katika taarifa yao ya habari?!
Screenshot_20250211-222552_X.jpg

Screenshot_20250211-222601_X.jpg
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hii Nchi yetu ina kila aina ya sayansi na wana sayansi. Huko Mkoani Rukwa wilaya ya Sumbawanga kumejitokeza jambo ambalo limenigusa sana .

Embu Soma habari hii👎

Katika hali isiyo ya kawaida kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Daud mkazi wa Sumbawanga mkoani Rukwa, amezua taharuki baada ya kuiba koti la mzee mmoja ambaye jina lake halijafahamika ambapo baada ya kuiba koti hilo ilianza kusikika sauti ikitoka katika koti ikimtaka arejeshe haraka kwa mmiliki halali ambaye kwa wakati huo alikuwa katika kijiji cha Isesa nje kidogo na Sumbawanga mjini.

Huyu mtu alitakiwa achukuliwe kisirisiri na kupewa kila huduma anayohitaji ili awe maalumu kusaidia baadhi ya mambo mazito mazito😀😀.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Duh!
 
Hivi Mzindakaya bado yupo? Yeye alikuwa akienda kuhutubia anavua koti analitundika hewani na linatulia hapo mpaka aliondoe.

Hakuna mtu aliyekuwa anadhubutu kugombea ubunge jimboni kwake
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hii Nchi yetu ina kila aina ya sayansi na wana sayansi. Huko Mkoani Rukwa wilaya ya Sumbawanga kumejitokeza jambo ambalo limenigusa sana .

Embu Soma habari hii👎

Katika hali isiyo ya kawaida kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Daud mkazi wa Sumbawanga mkoani Rukwa, amezua taharuki baada ya kuiba koti la mzee mmoja ambaye jina lake halijafahamika ambapo baada ya kuiba koti hilo ilianza kusikika sauti ikitoka katika koti ikimtaka arejeshe haraka kwa mmiliki halali ambaye kwa wakati huo alikuwa katika kijiji cha Isesa nje kidogo na Sumbawanga mjini.

Huyu mtu alitakiwa achukuliwe kisirisiri na kupewa kila huduma anayohitaji ili awe maalumu kusaidia baadhi ya mambo mazito mazito😀😀.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ili awasaidie pia kuiba kura oktoba??
 
Back
Top Bottom