Kijana atajirika kwa kuuza uume, korodani, ni milionea "Wanawake wanagombania, freemanson kawaida"

Pascal_TZA

Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
27
Reaction score
76
Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni! Msemo huu unajidhihirisha baada ya kauli ya Onesmo Mbasha, ambaye ni mmoja wa vijana wanaouza bidhaa mbalimbali zitokanazo na wanyama zikiwamo sehemu za uzazi za ng’ombe dume zinazojumuisha uume na korodani.

Zipo taarifa kuwa viungo hivyo vya ng’ombe ni maalumu kwa ajili ya kutengenezea nyuzi zinazotumika kuwashonea watu waliopata ajali na chakula kinachotumika zaidi nchini China lakini pia hapa Tanzania baadhi ya watu hutumia kama dawa na wengine kuchemsha supu.

 
Vijana mliokulia mjini hamuwezi elewa kwamba ng'ombe dume anapochinjwa nyumbani iwe kwenye sikukuu au msiba....hizo kitu watoto wa kiume wanakuwa wanahangaika nazo kwenye moto wa kuni, kile kibofu cha mkojo kinapuliziwa upepo ndo unakuwa mpira kwa siku hiyo....
 
Mimi nikajua uume huu wa kwenu ishiiii kumbe wa ngo'mbe? Ungekuwa wakwenu mungekoma😂 hakuna kuwachoma na petrol ni mwendo wa kuwakata 1200.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…