Kijana badilika uaminifu wako ndo mtaji wako

Hakuna jambo naloliogopa katika maisha yangu kama kupoteza credibility. Vijana tunapotea sana
 
Hakika uaminifu ni mtaji tosha maishani..!
 
Dogo boya kweli tena ni mbute iliyooza, badala akae shop kutafuta pesa yeye analeta starehe najua mwisho wa siku ungemfungulia duka lake mbali na kumlipa mshahara.....Watu wanataka kazi hata ya kufagia yeye analeta udwanzi kazini,
Nasema hivi atakukumbuka.
 
Huyu mjinga maisha yake yote atahangaika mafanikio hatokaa ayaone.usually kama hujaweza kusimamia kitu ulichoaminiwa basi kuja kutengeneza cha kwako ukakisimamia mpaka kikaa stable ni shughuli kubwa sana.
 
Mkuu sio kufagia tu mimi nilishawahi kuomba kazi kwa malipo ya msosi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…