Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah hahhaaYaani anasema,"tema mate niteleze kama pangoni?...
Haya matusi hatuwezi vumilia,naomba akamate,anyongwe
Tanzania sheria ya kutukana kwenye Sanaa haipo ukae ukijua hilo........tatzo sheria Hata kama tusi limezoeleka .....
Nakubaliana naww kabisa kwa hlo wameteleza kumfungia kivile...... lakini naww nadhan unajua kua matusi ni mwiko au wongo !!!!!!!hata sharia ya kumfungia msanii asifanye shuhuri zake za kisanii nje ya nchi haipo...ukae ukijua hilo!!