Haaahaaahaaaa....hivi unafikiri ni kweli kinachosemwa hapa na huyoo? Hakuna kitu hapo ptuu
Njoo pm nikupe series yake...utatapika kichefu chefu kitupu!
So wewe unaeandika guidelines za kupata wanawake ndo winner???? Hahahahaaa.... umekaa ukapinda mgongo kuandika jinsi ya kupata wanawake kwa nini usingeandika jinsi ya kupara kiongozi bora tukuone una ahueni?
Like I said earlier boldly and clear, clown of a month. Underlined
Naona unatumia nguvu sana, ulichocomment mwanzo wa thread na sasa ni tofauti... hii inaonesha upo ktk kapu gani la maisha!
Mtonyo watakiwa kufanya ulivyoshauriwa na mhengaTeh teh huezi pata vitu classy bila mtonyo
Nimeshangaa hii thread watu wanalazimisha vita!! Mhenga mwenzangu niambie huku chit chat ndo kupo hivi these days? Yaani mtu anaudhika na jukwaa la chit chat? Doh sijapita huku masiku mingi! Naona akina mwajuma ndala ndefu wanatafuta faraja!!Mtonyo watakiwa kufanya ulivyoshauriwa na mhenga
Kwa namna unavotaka wanaume tuwe hii ni kuendekeza umaskini haya maisha waarabu na wazungu waliotuletea toka western yanatuharbu sana utamadun wetu kwa kumaliza hela kweny Looks wakat familia zikiwa na maisha magumMwanamke yeyote hasa aliye classy huvutiwa na mambo haya kwa mwanaume.. achana na hadithi za baby baby all the time.
Kwanza kuwa smart! Nakumbuka first timenilikutana na mrembo machachari afrika mashariki anaeanza na herufi ”Z” pale 5th Avenue NY ktk mkahawa fulani aliniuliza bro umetumia cologne gani? Nikamwambia ni Creed Aventus alimalizia kwa kusema nzuri mno!! Perfume iliniunganisha na mrembo yule tukachat machache na kuachana but ndo ilifungua ukurasa wa kufahamiana. Vaa nguo nzuri na simple, kama ni miwani usivae ya machinga vaa ya majina na original kama Gucci... Prada etc
Pili kuwa Expensive!! Yote duniani yanawezekana ni juhudi zako tuu!! Vaa saa expensive, tumia perfume expensive za majina kama akina Paco Rabanne, YSL, Isey Miyake, Georgio Armani... Chanel etc.. alimia 70 za warembo nilio wahi kuwa nao niliwanasa kwa perfumes tu! Unakuta mrembo kila saa anapita pita mbele yako.
Vaa saa nzuri... simple looking but expensive one!! Vaa saa genuine!
Tumia Simu brand kali na toleo jipya sio unatumia older versions za iPhone au Samsung ukategemea mrembo classy atakupa attention!
Pendelea kutumia usafiri private hata kama huna Gari! Kwa wale wa mjini tumia Uber.. mtoto wa kike kumkimbiza na vibajaji atakushusha!!
Tatu na mwisho be a gentleman!! Ishi ktk jinsia yako ya kiume!! Tambua wajibu wa mwanaume mbele ya mwanamke!! Beba majukumu yote mbele yake kama kulipia bills, kutoa msaada n.k wanawake huvutiwa sana na mwanaume mlipa bills!! Hata mkiwa club wanawake wengi macho yao huwa kwa wanaume wanaosimamia show!!
Kijana ukiweza fanya hayo hakuna mwanamke atakukataa ktk dunia hii hata kama sio kwa mapenzi hata kwa urafiki tuu...
Hizo ndo nondo toka kwa kaka yenu ninayesubiria uhenga!!
Kwa namna unavotaka wanaume tuwe hii ni kuendekeza umaskini haya maisha waarabu na wazungu waliotuletea toka western yanatuharbu sana utamadun wetu kwa kumaliza hela kweny Looks wakat familia zikiwa na maisha magum
Teh teh wewe mwenye kichwa cha maendeleo watafuta nini hapa? After all haya ni mambo ya mtu asiewaza kesho atakula nini.unamawazo ya maskini mtarajiwa huna kichwa cha kuwaza maendeleo nilisoma.point ya kwanza nikasema wewe jembe chini hukoo ni upupuu
na wewe uliandika ya nini si unatupa ushauri kama hauna la maana tukupongeze?Teh teh wewe mwenye kichwa cha maendeleo watafuta nini hapa? After all haya ni mambo ya mtu asiewaza kesho atakula nini.
Halafu sio lazima sana kupoteza muda ktk vitu ambavyo huna interest navyo! Kuna maelfu ya thread humu unaweza peruzi za kukufaa! Usipoteze muda wako tafuta panapokufaa.na wewe uliandika ya nini si unatupa ushauri kama hauna la maana tukupongeze?
hapo baada ya after all hayo maelezo yameelza kabisa wewe ni mtu wa namna
.Halafu sio lazima sana kupoteza muda ktk vitu ambavyo huna interest navyo! Kuna maelfu ya thread humu unaweza peruzi za kukufaa! Usipoteze muda wako tafuta panapokufaa.
Post kama hii inabid atoe kijana aliyepitia balehe ya kwanza .Teh teh teh mzee hujalala? Hii inaitwa ukitaka chukua ukitaka acha!!
"Ukiona kitabu hukielewi achana nacho.... wewe si hadhira ya mwandishi"