Kijana fanya haya kumnasa mwanamke yeyote classy!

Sio peke yako ni shida ya watanzania wengi mno mna shida ktk comprehension. Sio kosa lenu ni lishe duni imedumaza makuzi yenu ya akili.
Sasa nimeshagundua kuwa akili zako ni mbovu, umepewa fact zote lakini still bado unanitukana, mtu mwenye akili mbovu siku zote hata kama ukimuandikia points & facts zote hawezi kukuelewa milele, Sitokuja ku-reply kwenye threads wala comments zako zozote haupo sawa wewe,
Mtu mwenye akili mbovu utaona hata threads zake anazo post ni za kipumbavu, Hii thread yako uliyo post inatufundisha nini zaidi ya kutupoteza if you are a true Expert? Jibu baki nalo mwenyewe cause najua hata ukinijibu hilo jibu halitokuwa point zaidi ya matusi,
 
Nne ukimwi upo na unaua,umesahau kuwaambia
 
Utakuwa jobless na loser tu!! Mi hunisaidii chochote ukijibu au usipojibu comments au thread zangu..... tangu mwanzo nimekwambia philosophy husema ukiona kitabu hukielewi achana nacho.... wewe si hadhira ya mwandishi. Yale unayoona yanafaa wewe una uhuru wa kuyaanzishia thread. Hata mimi zipo thread zangu ambazo zimesaidia wengi kimaisha hapa JF!! Wapo waliopata kazi kwaajili yangu na wapo walioenda ulaya kwaajili yangu tokea hapa JF!!
After all niliyoandika ni maisha ya kawaida mno kwa mtu wa kipato cha kati ila kwenu losers mnaona ni mbingu na ardhi!!
Again huna capacity ya ku grasp simple meaning ya vitu so huwezi zielewa thread zangu! Utapia mlo umewalemaza!
 
Bahati nzuri nimeshagundua kuwa huna akili timamu kwahiyo hunisumbui wala hunibabaishi kitu zaidi ya comments zako ndefu zilizo jaa matusi,
 
Kwani kijana asipofanya hayo ndo hapati huyo hooker unayemzungumzia na kumlenga
 
Bahati nzuri nimeshagundua kuwa huna akili timamu kwahiyo hunisumbui wala hunibabaishi kitu zaidi ya comments zako ndefu zilizo jaa matusi,

Wewe ndo huna akili...kunywa maziwa kwa wingi kujenga afya ya akili.
 
Akina mwajuma ndala ndefu wametupa kitaulo teh teh teh
 

Kwendaaaaaaa!!!!!
Eti nilienda NY nikapata mademu wakali kisa perfume loool!!!!! Hao naoishi nao ma gold diggers ukaona diiiiliiii ndo unakuja kutoa advices za ki wendawazimu huku lmao!!!!
Afu unaponda eti tunachagua vicha wakati umeandika uharo hahahaaha... nyani haoni kundule! Hata kichaa huwa hajijui ni kichaa ...
narudia tena, $1000 ukanunue vocha! Lets talk about class with dirty mouth at the same time! What you got????
Dumbass!!!!
 
Hii comment yako inaonesha how much uko so desparate!! Kama akina mwajuma ndala ndefu wenzako comprehension kwako ni shida coz ya life style zenu hasa lishe duni!! Soma tena thread! Nimesema nilikutana na msanii maarufu NY akanipa compliment juu ya perfume na wala sijasema niliokota mademu wengi NY!!

Kenge kweli wewe unasoma only one line then unakuja na conclusion ya kipuuzi... mko na lettered laziness kiwango cha fungo!!

You dumbass!! Kama kununua miwani ya $300 na perfume ya $425 unaona kwako ni maisha ya akina pdidy utaweza mpa mtu $1000?? Unaonesha wazi upo ktk class za free P tuu wewe!!

Again upo so desperate ndo maana vitu vya watu usiowajua vinakusokonyoa.... DUMBASS!!!
 
Yaaan nitumie cost zote hizoo kwa sababu ya 'kibumbu'??? Abadani asilani hakuna formula ya kutongoza na kumnasa mwanamke mkalee
 
Vipi kwa wale wadada classy tunaopita nao,sisi waendesha boda boda,house boys,shamba boys,
Drivers,wanavutiwa na nini kwetu,maana sisi hatutumii malashi,ni mwendo wa mafuta ya mgando,
 
Yaaan nitumie cost zote hizoo kwa sababu ya 'kibumbu'??? Abadani asilani hakuna formula ya kutongoza na kumnasa mwanamke mkalee
Yaani kuwa+usafiri na kuishi standard life kitu kinachokupa heshima na confidence kila mahali unaingia ni gharama na wakati ni basic??
 
Kupata laki sita kwa mwezi ni nzuri ili ifikie huku unatakiwa uwe na kabiashara kako unafanya mkuu...sio unaishi kwa mshahara ni wachche sana wanaishi kwa mshahara anaWeza kuishi luxury life ku enjoy the life to the fullest
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…