Kijana fanya haya kumnasa mwanamke yeyote classy!

Katika vyote hapo hujasema utafute hela ili upate hivyo expensive so kwangu ni useless[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Kutafuta hela inatofautiana kulingana na mazingira uliyopo; fursa iliyopo mSaki ni tofauti na manzese au iringa
 
unamawazo ya maskini mtarajiwa huna kichwa cha kuwaza maendeleo nilisoma.point ya kwanza nikasema wewe jembe chini hukoo ni upupuu
Watu wote wanaotumia ndio wenye mafanikio makubwa kuliko ambao hamna matumizi kwani amfikirishi akili yenu kupata kipato cha kutosha
 
Zipi mbinu za kumnasa mzungu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…