Kijana, fanya mambo hayo muhimu kuilinda afya yako

Bezo tatizo lako wee ufanyi mambo yawe complicated ahahaha hongera mkuu..

Nahisi ni.mtu flan hutaki mambo mengi sio πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Easy tuu
Hahaha,nawapenda watoto mkuu. Hao ndo ndugu zangu halisi..ukiona mwanaume ana hofu na mtoto wake wa nje ujue anategemea kipato cha mke wake,hivyo anaogopa endapo wataachana ataishije..ukiwa na hela unakuwa mtu huru sana mkuu.

Nina jamaa yangu ni meneja wa tawi moja la nmb hapa nchini,anasema ana watoto sita kila mmoja na mama ake. Sembuse mi wa mtoto mmoja wa nje
 
Halafu unapaliwa na mate unakufa.
 
View attachment 3082713
Mwaka 2009 nacheza na hizo electronics devices ulikuwa wapi?
Poor Brain πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ Duuuh hatari sana mkuuu daaaah weee jamaaa acha hayo madude jipe mda sasa aiseeeeee....

Kipindi hiko mi nilikua nakomaa na kitabu sijui ahahahahaha daaah
 
Nilikuwa bize na season kaka
Oaaaa sasa ujue nn... Nimepata ofa ya tigo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸŽΆ

Toka juzi nashusha seson tuuu an mpaka sasa nina hii mizigo

The I land
Last of us
Sweet tooth
Cleaning Lady
La brea
Merlin
Doctor lawyer
Ghost doctor
....
Single zipo ka 80 hvi.. assume tuu nikitulia hapa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜¬
 
Wapi hapo kitaaani kwenu kule mmb ?
 
Ukae kwenye kundi lenye kutenda mema na kuamini katika mema.
 
Vijana tuna jiendekeza sana, nimegundua hamna kitu kizuri kama mazoezi, ukiwa mtu wa mazoezi, hata ukifika miaka sitingi bado ukofit na show unapiga kama kawa.Yani kwa wiki mara 4+ ukipata lisaa limoja la mazoezi linatosha sana.Tatizo wengi wetu huo mda hatuna,ila ukienda Bush kubabu cha miaka 60+ kipofit kinyama na hakina hizo changamoto,mda mwingi anashughulika,mara alime,abebe kuni,atembee umbali mrefu kwenda shambani mara awatembelee ndugu na marafiki.Kuna vibabu vinaoa vibinti vigori, kila vikipata mavuno mengi na vinawapelekea moto vizuri tu.

Yani huko bushi mda wote kuanzia shughuli zake za kumwingizia kipato,mpaka za kijamii zote ni mazoezi.Huku mjini kijana huna mazoezi, lishe yako yenyewe chips,mishikaki,foil nyama ya nundu nk,hizo nguvu za kiume na afya bora utazitolea wapi,unategemea mkongo na Alkasusu kumbe unajimaliza mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…