Kijana, fanya mambo hayo muhimu kuilinda afya yako

Kijana, fanya mambo hayo muhimu kuilinda afya yako

Hapa ni kweli aisee by professional vifaa vya ki electronic natumia kwa masaa 17 kila siku except jumamosi na jumapili tu labda ndio nitakuwa na simu kuanzia saa 3 asbh mpaka saa 8 usiku.

Kuhusu soda yaani hapo kwa wiki nakunywa kreti moja la soda na red bull 7-10 huko kwingine sipo kabisa. Ni vile tu maisha yametaka hivyo nawish by 2025 niwe Mkulima na Mfugaji kubadili life style yangu hasa kwenye kutumia electronics equipments.

Kuhusu energ drinks nitaanza kutumia alkasusu na Tangawizi vile vile kabla ya kula kitu nitakuwa nameza vitunguu swaumu
Daaah mkuu nikwambie ukweli tuu..
Huu uzi ni special for you mana kuna mtu kakuambia ila kachoka ndo kaja kwangu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
vipi sisi ambao tunakula vizuri then maji kwa wingi na mtungi juu ila no mademu wala sigara wala bangi naomba kujijua ,,,naomba ushauri mr ubongo dhaifu
Kwanza kabisa wewe ni hom boy..
Uyole moja hapa makasini...

Skia wewe upo salama maana maji yana neutralize kila kitu so kua na amani mkuu...

Usije jaribu bangi sawa homboy
 
Acha sasa 😂😂😂🙌🙌🙌🙌...
Unaweza kuacha ukawa na life style flani hivi...

Tatizo unakuta wewe una mental.yako ambayo ukishasema NO ni NOO tuu
Kwenye No ni No kweli japo siipendi hii hali maana ndiyo iliyonifanya niachwe kwa talaka na gumama watoto kisa kujiona mwamba kumbe msela mavi fulani
 
Kwenye No ni No kweli japo siipendi hii hali maana ndiyo iliyonifanya niachwe kwa talaka na gumama watoto kisa kujiona mwamba kumbe msela mavi fulani
Daaah mkuu hiyo hatare sana aiseeee....
Basi fanya kupunguza kitu kimoja kato ya hvo viwili mademu au pombe...

Mana mwili hapo bado ujaanza kufanya mambo yake ooooh..

Au umejipanga kifedhwaaaa
 
Back
Top Bottom