Au anamalizia morning groly πHuyu Mbaga Jr mda huu anakifanya nini πππ bora wewe upo kwa gari now...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au anamalizia morning groly πHuyu Mbaga Jr mda huu anakifanya nini πππ bora wewe upo kwa gari now...
Oaaa weee hatari sana...Oya sio pw nimeamka saa 10π
Vijana hovyo sasa na nishawambia tuache haya mambo maana yanamaliza cell ππππAu anamalizia morning groly π
Maisha haya Bora kupata mshangaziππOaaa weee hatari sana...
Sasa assume mda ka huu pale rangi tatu show yake watu unakuta wanagombania gari et...πππ
Vijana wa hovyo hatuelewiπVijana hovyo sasa na nishawambia tuache haya mambo maana yanamaliza cell ππππ
ππππ Kuna mambo lakini yanataka moyo mkuu kuna changamoto pia huku ooooh......Maisha haya Bora kupata mshangaziππ
Umeniwahi nilitaka nkuulize unafanya niniπππππ Kuna mambo lakini yanataka moyo mkuu kuna changamoto pia huku ooooh......
Unajua mi mapema yote hii nipo nafanya nini ππππ
Mnawaza nongo tuuu.....ngoja kila kitu kina mda wake wakuu πππVijana wa hovyo hatuelewiπ
Nipo napiga nguo pasi πππππππππππUmeniwahi nilitaka nkuulize unafanya niniπ
πππππ Daaah bora wewe si wengine tunastuliwa mwangu daaah life not fair..Sisi wengine n wapweke hvy tukishtuka tuu usingizini tunaanza na sala then JF tuu.
Kumbe mambo ndo yalivyo dooh πNipo napiga nguo pasi πππππππππππ
Unashtuliwa na naniπππππ Daaah bora wewe si wengine tunastuliwa mwangu daaah life not fair..
Wachche tunafaidi afu kuna nyie sasa
Kawaida tuu lakini sio issue mbona mkuu..Kumbe mambo ndo yalivyo dooh π
Mi leo bila kushtuliwa kuhusu nguo hapa ningeamka sa tano mkuuUnashtuliwa na nani
Mkuu unatoboa sana..Hivi unaweza toboa bila kufanya dhuluma
Kweli kabisa madam wala sio uwongo..Uzima na afya njema unatupa kiburi wanadamu unafanya tujione wenye haki na wale wagonjwa tunajiaminisha kuna mahala walikosea.