Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Una Famasihara sana Kijana πππtoa Nyeto hapo
Majuto ni mjukuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una Famasihara sana Kijana πππtoa Nyeto hapo
ah wapi,Una Famasihara sana Kijana πππ
Majuto ni mjukuu
Ijumaa KaremUmesomeka
Mawazi na stress mkuuWatoto wa nje ni ugonjwa gani?
Mkuu acha basi...asiye sikia acha avunjike guu
Wanawaza VPN za tigo tuuuππππkwani UVCCM wanalizungumziaje hili?
Sawa sawa mkuu ibada muhimu na ibada ndio msingi wa haya yote..umeongea yote ila umesahau moja la muhimu sana tena lingekua la kwanza kabisa..
kila mtu kwa imani yake atangulize "ibada". ukijengeka kiroho mambo mengi hapo utayaepuka
Jumaa Kareem...Uzi mzuri Sana
Karibu sana mkuuTunakumbushana mkuu maana daah ππππ...
Achaaa tuuu yani
Takutafuta nipate ushauri maana hizi ni adhabu sasa π₯Ί
Always πππ€π€Well said
Astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah nakuonea huruma kijana mwenzangu πππππππNdio nakula kiporo cha chips hapa
Mimi nina mtoto wa nje ila sina mawazo mkuu. Huwa sijutii kuwa naye.Mawazi na stress mkuu
Well said mkuu maana yajayo yanafurahisha...Naongezea,
Akiba ni muhimu sana.
Koh koh koh yao yao.....πΆ Vijana kuvana nowe waiyoo....
(waiyooo, Dobi dobiiii)
Ayo no mwana kuwano wewaiyo...
(Waiyooo, Dobi dobiiii)
Ayo no mwana kuwano wewaiyo jama...
( Waiyooo, Dobi dobiiii)πΆ
Jamani pisi hizo, pisi hizo....
Bombo klaaaaat....π
ππππVijana hovyoπ€£π€£
Ahahaha sawa bonge πππππππAfya yenyewe ninayo sasa,,,kwanza mi sio kijana umenifananisha
Wewe mbona kajeuri hivo.....Asante,,ila usinipangie matumiz ya mwili wangu
Kuna kijana alimtukana dr haya land kisa kukataza punyeto ππππππPunyeto is overlated