Kijana hivi unaanzaje kutongoza Sister "Mtawa wa Kike" huogopi?

Kijana hivi unaanzaje kutongoza Sister "Mtawa wa Kike" huogopi?

Kumbe bwana mdog unasoma RUCu ukiachana na wataw kun watt wakali kinoma .Sana Sana diploma kuliko masters na degree ( watawa wengi hapo wanasoma coz za afya diploma.
 
Unaanzaje kwa mfano?

Kuna kijana wa Chuo anagegeda "mtawa" na hili nimejihakikishia mwenyewe, sasa najiuliza vijana hamuogopi?

Hamuoni kama mnawapa dhambi?

Ni kweli masister wa sasahivi ni wadogo halafu ni "pisi kali" hasa hapo RuCu, labda mnaingia vishawishi vya kuwatongoza huko kwenye discussion za magroup.

Ila jaribuni kujizuia.
Hakuna salama kwenye mchanganyiko kati ya jinsia mbili tofauti.

Huwa tunaambiwa kwamba huwa hawa ni mabikra maisha yao yote. Sasa kama huyo anayechachuliwa na huyo dogo, vipi utawa wake bado upo au haupo ?
 
nilikuwa siamini hili lakini siku nimeshuhudia jamaa yangu mmoja katoka nae geto na mavazi y
Kuna mshikaji wangu alimtia mimba sister ikabidi amuowe

Sasa hav anae kitumbo kimejaa tens ndii?
unaachaje kuoa mkuu wakati mzigo unaupata safi
 
Unaanzaje kwa mfano?

Kuna kijana wa Chuo anagegeda "mtawa" na hili nimejihakikishia mwenyewe, sasa najiuliza vijana hamuogopi?

Hamuoni kama mnawapa dhambi?

Ni kweli masister wa sasahivi ni wadogo halafu ni "pisi kali" hasa hapo RuCu, labda mnaingia vishawishi vya kuwatongoza huko kwenye discussion za magroup.

Ila jaribuni kujizuia.
Kuna mmoja analiwa na kijana wangu mmoja ya ninaouzaga nao majeneza hapa kibandani kwetu yaani anamkula huyo sister utadhani mke kabisa
 
Msijidanganye wakuu , kuna sister mmoja kila mwezi huwa anakuja kunitembelea na kwenye pochi anakuwa na P2 pamoja na vipimo vya ukimwi basi tunashinda karibia wiki nzima ni kunyooshana tena ana joto haswaaaaaaa.

Akimaliza anarudi zake kwa watawa wenzake simple as that hapa ninavyooandika ameondoka juzi tu .

Ninachotaka kusema ni kwamba , msijihadae eti kwamba masister ndo huwa hawakamuliwi sjui nini? Hizo ni sheria tu alizoweka binadamu na zinavunjika kirahisi kama hivyo.

Kuliwa wanaliwa kirahisi tu and yes now nawinda wengine wa hapo karatu.
Na kilemba chake anakiacha wapi ?
 
Back
Top Bottom