Huyu Leo amevurugwa na mtu wake wa karibu sio bureeeee na povu hiliii
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji3][emoji3]Huyu Leo amevurugwa na mtu wake wa karibu sio bureeeee na povu hiliii
Vipo vingi mfano kijana akiwa chuo a some kwa bidii apate GPA ya kueleweka..kama ni biashara basi sio vibaya akiwa serious na kuepuka vishawishiSa mbona hujataja hivyo vitu sahihi vya kufanywa
Hata ukijitambua unakufa,usipojitambua unakufa vilevile[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Nimemaliza brotherumemaliza au kuna toleo la pili ?
Hapana mkuuI.d yako ya zaman ni ipi
Kichwa cha panz or ...
UshajitambuaHapana mkuu
Akishavipata vyote hivyo Hafi.Vipo vingi mfano kijana akiwa chuo a some kwa bidii apate GPA ya kueleweka..kama ni biashara basi sio vibaya akiwa serious na kuepuka vishawishi
Do the best..God will do the restAkishavipata vyote hivyo Hafi....