Aliye na macho haambiwi tazama,zile zama za pesa kununua nafasi ccm zimerudi
Kijana kama ulikuwa na ndoto kuwa mbunge au Diwani kupitia ccm na huna pesa sahau,kafanye shughuli zingine au tafuta chama kingine
Yaani sasa hivi ili upate ubunge au udiwani ccm kwa wale wajumbe na naamini kwa sasa hakuna kukata mtu ni huyo huyo poleni kama huna pesa
Enzi za wajumbe kushiba kwanza na kuondoka na laki tano kila mtu zimerudi
Sasa hivi wajumbe asikwambie mtu
Enzi za matajiri wa mikoani kuamua wagombea ccm zimerudi
Kijana kama ulikuwa na ndoto kuwa mbunge au Diwani kupitia ccm na huna pesa sahau,kafanye shughuli zingine au tafuta chama kingine
Yaani sasa hivi ili upate ubunge au udiwani ccm kwa wale wajumbe na naamini kwa sasa hakuna kukata mtu ni huyo huyo poleni kama huna pesa
Enzi za wajumbe kushiba kwanza na kuondoka na laki tano kila mtu zimerudi
Sasa hivi wajumbe asikwambie mtu
Enzi za matajiri wa mikoani kuamua wagombea ccm zimerudi