[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukiambiwa unapendwa jiongeze. Na wewe mwambie nakupenda pia huku unamwambia mwingine unampenda na weweJf mnapangwa wote mama,kila mtu anafarijiwa na kuambia nakupenda nimeshtuka mie
Mwambie akutumie hahaEmbu picha tuone
Ili tuamini jaman wanaokufata huko pm mana watu wanasemaga hivyo hivyo wanatongoza sana pm na wanawake wa humu kumbe hamna lolote hata pm hawapati[emoji51][emoji51][emoji51] unataka kugundua nn ?
Kaniroga shemeji ako wakunyumbaWakunyumba kweli umeshikika na shemela wa jf shemela popote ulipo shikamoo
Hahaa hawezi we fanya tu kunitumia mke mweza hyo elfu 50hahahahaaa. Siku akiweka nidai elfu 50
Shunie mim nimesandaAtapambana na hali yake [emoji3][emoji3][emoji3]
Karibu sana we lazima tupige king'or a wakae kandoFoleni ikipungua nishtue nataka kuja na mimi
Tajiri mi nawe tushakua ndugu mim dada yako mbonaNtaweka profile yake soon naiandaa kaniruhusu nikionaga mnaboga humu jukwaani najuaga mnafahamiana kumbe chenga
Jamani shikilia hapo hapo mwaya. Huyu niachie mimi tutawezana.Ahahah kwanini kakutoa akuweke tu atakuwa rafiki yangu wa kufa na kuzikama na kama ikitokea harusi mwambiea toe mchango kabisa ,mi msomali nimefika mzigua sikutanii tena hatutaniani,,nafata nakopendwa ,kupangwa nimechoka,bora nisijue kujua nimechoka
Kwa sasa nimeacha shunieMmh kilichokuharibu uhuni unaonekana msela muhuni
Sasa unamuulizaje hivi unafkili anaweza kukubaliHahahahhaaaa.. ngoja nimuulize beb
asante Jirani ake SakayoNtakuletea jirani
Ebu nitajie ni nani huyoMie namjua mmoja
Mi mwenyewe shemeji mgogo simtaki. Halafu Lemutuz si mgogo na yeye eeeh?Halafu mimi nampenda huyu mama Sabrina lakini hanitaki kwasababu mimi mgogo. hahahahaha
Nampenda msomali wangu jamani ,,ila N mtu wangu wa nguvu poa usijali msiniumizie mtunzeni mumvulimie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Huoni Mama Sabrina kampata msomali ndo kajitoa kwenye mpambano. Mimi sijapata msomali wala mwarabu naatokaje sasa.
Bora sisi wala chipsi (wanaume wa Dasalamu) kuliko wala mirungi hao nasikia wake zao walalama hawapati mgegedo.Mi mtamu tu always
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji85][emoji85][emoji85] nimewaza tuHahaha
Mwehu wewe
Hapana na keep privacy za watu .Ili tuamini jaman wanaokufata huko pm mana watu wanasemaga hivyo hivyo wanatongoza sana pm na wanawake wa humu kumbe hamna lolote hata pm hawapati
basi niulize kwanza test zangu ni za aina gani ummi sabrinaRusha picha pm karibu,uwe umependeza unang'aa ili usiniangushee