We huoni kiko kama cha TKila siku kidevu nae si akutumie pm full pic uhangaike nayo we mshipa mtumie pm huko mara paap sura kama wassira utakoma kulilia videvu vya watu halaf ukikutana na sura inatisha usije kunililia
Nanihii wetu mzuri na muonekani mzuri. Ananukia vizuri. Nishammiss tayari ngoja nimwendee whatsappMsomali wangu hakuna anaemfikia humu wala nje labda docta ila nanihii wetu mzuri pia
Mume wanguT. ndo nani huyo?
Kwanini uitwe mchawi sasa?Si nitaitwa mchawi aki
Wakunyumba humu Mambo ya code shemeji ako utamuona tuu akija.Wakunyumba nanihii na nahii ndio wakina nani hao code sio nzuri kwa afya kama tupo kwa Milly nyampua
Mwendee tu,mi naenda kwa msomali wanguNanihii wetu mzuri na muonekani mzuri. Ananukia vizuri. Nishammiss tayari ngoja nimwendee whatsapp
Mi mwenyewe nilijua nanihiii peke yake ndiye handsome kumbe kuna wengine...Wakunyumba nanihii na nahii ndio wakina nani hao code sio nzuri kwa afya kama tupo kwa Milly nyampua
Basi nifanye niwe mchepuko wakoMume wangu
Mpaka umpate sasaKumbe kuna wakaka wazuri jamani. Nilijua nanihii na nahii tu ndo wazuri kumbe wapo wengi wamejificha tu
Msituache UbungoMi mwenyewe nilijua nanihiii peke yake ndiye handsome kumbe kuna wengine...
Hornet tumetoka mbalii nani huyoooMi mwenyewe nilijua nanihiii peke yake ndiye handsome kumbe kuna wengine...
Kumbe yule Doctor Ulimwengu msomali? Halafu wanawake wa Mwanza mna miguu na misambwanda si mchezo aiseee. Wengi wa wanawake wa mwanza kama Wanyarwanda muonekano waoAisee mim nina sabrina nampenda kama roho yangu,,pia nimepata msomali ananipenda vibaya mno ,kesho kuwa anatua Mwanza,,halaf nitamfata mzuri mnoo so keshokutwa naenda pata dozi kali kabisa ,,nampenda maana nyota njema huonekana toka asubuhi kabisa,mim msomali ananitosha sihitaji mtu jf,,mnaonisoma jf sihitaji mme wala mchuchu ,msomali keshakidhi viwango kabisa ,mzuri halaf hana kibami acha nifate upendo uliko,,wa humu wapate ambao sina
Huyo msomali huyo kapendwa kama mie navyompenda mkurya na msukuma wangu.Mwendee tu,mi naenda kwa msomali wangu
Hvi wasomali si wanapenda tigo sana au umeamua tu kujitoa ufahamuMwendee tu,mi naenda kwa msomali wangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi mwenyewe nilijua nanihiii peke yake ndiye handsome kumbe kuna wengine...
Khaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umesahau kama we ndio mwalimu wangu uliyenifundisha
Sio kazi ndogo. Huyo mkaka anajikubali ndo maaana katuma. Wale wenye sura za babu yake babu na babu yake babu ndo wanatoa povu wenzao wazuri wakisifiwa kama vile na wao wamekatazwa kusifiwaMpaka umpate sasa
Sio Mimi bhanaHe he tajiri msomi hongera zako
Jirani yangu habari za miaka! Happy New Year 2018!Hahaha
Jamani kizuri kisifiwe tuu
Mwanamke kuwa na ndevuKwanini uitwe mchawi sasa?