Kijana msomi jf

Kijana msomi jf

Kila siku kidevu nae si akutumie pm full pic uhangaike nayo we mshipa mtumie pm huko mara paap sura kama wassira utakoma kulilia videvu vya watu halaf ukikutana na sura inatisha usije kunililia
We huoni kiko kama cha T
 
Aisee mim nina sabrina nampenda kama roho yangu,,pia nimepata msomali ananipenda vibaya mno ,kesho kuwa anatua Mwanza,,halaf nitamfata mzuri mnoo so keshokutwa naenda pata dozi kali kabisa ,,nampenda maana nyota njema huonekana toka asubuhi kabisa,mim msomali ananitosha sihitaji mtu jf,,mnaonisoma jf sihitaji mme wala mchuchu ,msomali keshakidhi viwango kabisa ,mzuri halaf hana kibami acha nifate upendo uliko,,wa humu wapate ambao sina
Kumbe yule Doctor Ulimwengu msomali? Halafu wanawake wa Mwanza mna miguu na misambwanda si mchezo aiseee. Wengi wa wanawake wa mwanza kama Wanyarwanda muonekano wao
 
Back
Top Bottom