Kijana msomi jf

Mama Sabrina Leo umenilipua paaaaaaaa yani picha na I'd yangu ukaweka wazi [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] ila ahsante naona pm mambo safi foleni ya kufa mtu
Upo mzuri wallah kuna wenzako humu sura tunamuachia Mungu,upo vizuri mkuu sana hapo hujaeditiwa sasa ,,uko vizuri kabisaa
 
Msomali huyu ndio kichwa kinakuuma ukiongea nae lugha eenh
 
Sio kazi ndogo. Huyo mkaka anajikubali ndo maaana katuma. Wale wenye sura za babu yake babu na babu yake babu ndo wanatoa povu wenzao wazuri wakisifiwa kama vile na wao wamekatazwa kusifiwa
Hahaha
Kama nawaona vileee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…