Mzee wa old school
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 873
- 1,405
- Thread starter
-
- #61
Endelea tu kubishaViwanda vyote na maduka ya jumla ya vifaa vya ujenzi yapo Dar, bei haiwezi ikalingana, lazma Dar itakua chini. Nini hasa kinachofanya ghalama ya ujenzi wa nyumba ya ramani moja Dar ikawa kubwa??
Hapana sijabisha mkuu. Inawezekana mawazo yangu madogo ndio maana niliongea hivyo. Vizuri kuelimishanaEndelea tu kubisha
Hakuna mtu anaeweza kumhamisha mtu Sinza ili ajenge nyumba yake ya kwanza aishi. Mtu mwenye uwezo wa kumhamisha mtu Sinza anakuwa ashapita level za nyumba ya kwanza ya kulala.
Ndio wapi hukoNjoo hapa kinole mzee heka laki mbili tuu mwanawane
Mbona aihitaji hata degree kifikiria? Hizo material za kutengenezea vifaa vinatokea wapi? Hivi bei ya tofali dar utalinganisha na moro au iringa? Hivi gharama ya fundi unaweza linganisha na fundi wa dar?Viwanda vyote na maduka ya jumla ya vifaa vya ujenzi yapo Dar, bei haiwezi ikalingana, lazma Dar itakua chini. Nini hasa kinachofanya ghalama ya ujenzi wa nyumba ya ramani moja Dar ikawa kubwa??
Chanika ni sehemu ya ovyo sana, wanajenga ovyo ovyo, wanazaana ovyo ovyoutulivu utapata sana shida.
Hapa unamaanisha Jamaa anunue Gari la kwake sio kudandia Boda na Gari za kupangwa kwa kuminywa km maparachichiNilikaa Chanika mwenyeji wangu alikua na gari. Nikabadili mtazamo, hakuna mahali ni mbali kama una usafiri. Na gharama hazikimbiwi tafuta namna ya kuongeza kipato kuzikabili.
Kule kuna wenyeji na wakuja na hapo kabla watu walikua wachache mno miaka ya 2000 Ila nenda leo 2024 ulienda Mwaka 2000 utapagawa sio Chanika Ile soon patakua na flyover pale Chanika mjiniChanika ni sehemu ya ovyo sana, wanajenga ovyo ovyo, wanazaana ovyo ovyo
yaani miaka michache ijayo Vingunguti ikasome
Wewe ni masikini ,u za hicho kibandaVijana wenzangu mnaojitafuta katika maisha, mkitaka kujenga, singatieni umbali na mahali mnapofanyia kazi, hasa kwa wale wa Dar es Salaam... jiji la fujo. Nasema haya kwa kuwa yamenikuta... Ni heri ningenunua kiwanja mkoani kwetu, maana pesa niliyoitumia huku, kwa kule ningepata kiwanja karibu na mjini na kilichopimwa kabisa. Na pesa niliyoitumia kujenga kwa Dar, kwa kule ningejenga nyumba kali na ingepata mpangaji chapu na kuanza kula kodi. Huku Dar ningeishia kupanga tu, maana sio kwa hasara hii.
Hebu fikiria, nilijiona mjanja nikanunua kiwanja Chanika kwa zoo, nikajisemea moyoni hakuna kwako mbali... Hahahaha! Kilichonipata, sasa nakaribia kunyoosha mikono juu... Kila siku ili nifike mishe mishe lazima niamke saa 9 za usiku, nikwee boda hadi stand, huku daladala hadi town 1,200; kwenda hiyo jumla 2,200. Na hapo nimebahatisha gari ya town, wakati mwingine natumia hadi 2,700. Kirudi inanilazimu kugeuka na gari pale Boma maana Machinga Complex hakupandiki ikifika saa 11 jioni... Gari inafika fulu nyomi, hapo natumia 1,900, jumla 4,100 kwa mwezi. Hapo hujala walau hata mlo mmoja na bado kufika nyumbani ni saa 4 au 5 usiku, unalala hoi.
Daah! Hapo nikamkumbuka rafiki yangu mmoja alisema, "Dar umeenda kutafuta, wekeza home; miaka inakwenda, miji inakua, Dar utapoteza pesa." Dooh! Nikakaza shingo, leo najifunza kwa njia ngumu, walahi!
Hayo maeneo ya bei rahisi huwa yanakuwa ya kijinga mwanzoni ila ndo hujazana wapiga kura wengi. Unajua nini hutokea sehemu yenye wapiga kura wengi? Miaka inavyozidi kwenda hugeuka maeneo ya biashara sababu ya idadi ya watu na watawala wa vyama vya siasa huwa wanataka kura.Kosa ulilifanya kwenda kujenga Chanika huko hata ukisema uipangishe hiyo nyumba kama ni ya familia humpati mtu wa 200K huko ni kwenye (ashakum si matusi) makalio ya mji,Chanika ni mbali na jamii inayokaa kule sometimes ni kama ya vurugu vurugu ukiwa mtu mpenda utulivu utapata sana shida.
Na wengi hukosea tangu kununua viwanja wanaangalia urahisi wa bei mpaka tunapojadiliana hapa huko Chanika kuna viwanja vya Tsh 1.6mill ukubwa 20x20 lakini ukienda uelekeo wa Morogoro road size hiyo hiyo utaambiwa Tsh 8mill Kibaha sasa hivi 20x20 vinafika 5mill na ukijenga nyumba ina soko sababu infrastructure ya kuingia town ni rafiki.
Tafuta pikipiki itatatua 60% ya changamoto ulizonazoVijana wenzangu mnaojitafuta katika maisha, mkitaka kujenga, singatieni umbali na mahali mnapofanyia kazi, hasa kwa wale wa Dar es Salaam... jiji la fujo. Nasema haya kwa kuwa yamenikuta... Ni heri ningenunua kiwanja mkoani kwetu, maana pesa niliyoitumia huku, kwa kule ningepata kiwanja karibu na mjini na kilichopimwa kabisa. Na pesa niliyoitumia kujenga kwa Dar, kwa kule ningejenga nyumba kali na ingepata mpangaji chapu na kuanza kula kodi. Huku Dar ningeishia kupanga tu, maana sio kwa hasara hii.
Hebu fikiria, nilijiona mjanja nikanunua kiwanja Chanika kwa zoo, nikajisemea moyoni hakuna kwako mbali... Hahahaha! Kilichonipata, sasa nakaribia kunyoosha mikono juu... Kila siku ili nifike mishe mishe lazima niamke saa 9 za usiku, nikwee boda hadi stand, huku daladala hadi town 1,200; kwenda hiyo jumla 2,200. Na hapo nimebahatisha gari ya town, wakati mwingine natumia hadi 2,700. Kirudi inanilazimu kugeuka na gari pale Boma maana Machinga Complex hakupandiki ikifika saa 11 jioni... Gari inafika fulu nyomi, hapo natumia 1,900, jumla 4,100 kwa mwezi. Hapo hujala walau hata mlo mmoja na bado kufika nyumbani ni saa 4 au 5 usiku, unalala hoi.
Daah! Hapo nikamkumbuka rafiki yangu mmoja alisema, "Dar umeenda kutafuta, wekeza home; miaka inakwenda, miji inakua, Dar utapoteza pesa." Dooh! Nikakaza shingo, leo najifunza kwa njia ngumu, walahi!
Kama unalalamika kwa nauli ndogo hiyo wewe dar hapakufai. Na huko umejenga kijumba na sio nyumba.Vijana wenzangu mnaojitafuta katika maisha, mkitaka kujenga, singatieni umbali na mahali mnapofanyia kazi, hasa kwa wale wa Dar es Salaam... jiji la fujo. Nasema haya kwa kuwa yamenikuta... Ni heri ningenunua kiwanja mkoani kwetu, maana pesa niliyoitumia huku, kwa kule ningepata kiwanja karibu na mjini na kilichopimwa kabisa. Na pesa niliyoitumia kujenga kwa Dar, kwa kule ningejenga nyumba kali na ingepata mpangaji chapu na kuanza kula kodi. Huku Dar ningeishia kupanga tu, maana sio kwa hasara hii.
Hebu fikiria, nilijiona mjanja nikanunua kiwanja Chanika kwa zoo, nikajisemea moyoni hakuna kwako mbali... Hahahaha! Kilichonipata, sasa nakaribia kunyoosha mikono juu... Kila siku ili nifike mishe mishe lazima niamke saa 9 za usiku, nikwee boda hadi stand, huku daladala hadi town 1,200; kwenda hiyo jumla 2,200. Na hapo nimebahatisha gari ya town, wakati mwingine natumia hadi 2,700. Kirudi inanilazimu kugeuka na gari pale Boma maana Machinga Complex hakupandiki ikifika saa 11 jioni... Gari inafika fulu nyomi, hapo natumia 1,900, jumla 4,100 kwa mwezi. Hapo hujala walau hata mlo mmoja na bado kufika nyumbani ni saa 4 au 5 usiku, unalala hoi.
Daah! Hapo nikamkumbuka rafiki yangu mmoja alisema, "Dar umeenda kutafuta, wekeza home; miaka inakwenda, miji inakua, Dar utapoteza pesa." Dooh! Nikakaza shingo, leo najifunza kwa njia ngumu, walahi!
Iko mkoa gani na wilaya ganiNjoo hapa kinole mzee heka laki mbili tuu mwanawane
Tafuta hela kijana ndo utaelewa! kuna watu wana goals zao we hujawahi kuona mtu ndo nyumba yake ya kwanza lakini ni ghorofa la kutisha??Hakuna mtu anaeweza kumhamisha mtu Sinza ili ajenge nyumba yake ya kwanza aishi. Mtu mwenye uwezo wa kumhamisha mtu Sinza anakuwa ashapita level za nyumba ya kwanza ya kulala.
Acha stori za kufikirika wewe. Mtu anazungumzia kujenga Chanika huko unaleta stori za kuhamisha watu Sinza. Mtu wa kuhamisha mtu Sinza hayuko level za nyumba ya kulala. Take that to the bank.Tafuta hela kijana ndo utaelewa! kuna watu wana goals zao we hujawahi kuona mtu ndo nyumba yake ya kwanza lakini ni ghorofa la kutisha??