Kijana mtafutaji, ukijenga Dar unaulazimisha umasikini uendelee kuwepo mlangoni mwako

Kijana mtafutaji, ukijenga Dar unaulazimisha umasikini uendelee kuwepo mlangoni mwako

Mbona aihitaji hata degree kifikiria? Hizo material za kutengenezea vifaa vinatokea wapi? Hivi bei ya tofali dar utalinganisha na moro au iringa? Hivi gharama ya fundi unaweza linganisha na fundi wa dar?

Acha ubishibi usio na faida
😂😂😂 Huna point. Tuachane nayo hayo
 
Vijana wenzangu mnaojitafuta katika maisha, mkitaka kujenga, singatieni umbali na mahali mnapofanyia kazi, hasa kwa wale wa Dar es Salaam... jiji la fujo. Nasema haya kwa kuwa yamenikuta... Ni heri ningenunua kiwanja mkoani kwetu, maana pesa niliyoitumia huku, kwa kule ningepata kiwanja karibu na mjini na kilichopimwa kabisa. Na pesa niliyoitumia kujenga kwa Dar, kwa kule ningejenga nyumba kali na ingepata mpangaji chapu na kuanza kula kodi. Huku Dar ningeishia kupanga tu, maana sio kwa hasara hii.

Hebu fikiria, nilijiona mjanja nikanunua kiwanja Chanika kwa zoo, nikajisemea moyoni hakuna kwako mbali... Hahahaha! Kilichonipata, sasa nakaribia kunyoosha mikono juu... Kila siku ili nifike mishe mishe lazima niamke saa 9 za usiku, nikwee boda hadi stand, huku daladala hadi town 1,200; kwenda hiyo jumla 2,200. Na hapo nimebahatisha gari ya town, wakati mwingine natumia hadi 2,700. Kirudi inanilazimu kugeuka na gari pale Boma maana Machinga Complex hakupandiki ikifika saa 11 jioni... Gari inafika fulu nyomi, hapo natumia 1,900, jumla 4,100 kwa mwezi. Hapo hujala walau hata mlo mmoja na bado kufika nyumbani ni saa 4 au 5 usiku, unalala hoi.

Daah! Hapo nikamkumbuka rafiki yangu mmoja alisema, "Dar umeenda kutafuta, wekeza home; miaka inakwenda, miji inakua, Dar utapoteza pesa." Dooh! Nikakaza shingo, leo najifunza kwa njia ngumu, walahi!
Uko sahihi.maisha ya Dar labda uwe una shughuli yako mwenyewe na makazi yako karibu na hicho kijiwe,lakini kinyume cha hapo eti unakaa Kiluvya ndani ndani huko halafu kazi unafanyia Posta lazima maisha yako yatakuwa magumu sana...
 
Acha stori za kufikirika wewe. Mtu anazungumzia kujenga Chanika huko unaleta stori za kuhamisha watu Sinza. Mtu wa kuhamisha mtu Sinza hayuko level za nyumba ya kulala. Take that to the bank.
We kweli kiazi hata hueleweki
 
Dar ni sehemu ya kujenga nyumba ya kupangisha kuna mama mmoja alikuwa mjeshi alijenga nyumba 3 za familia sasa hivi amestaafu anataka auze aende kwao.
 
Vijana wenzangu mnaojitafuta katika maisha, mkitaka kujenga, singatieni umbali na mahali mnapofanyia kazi, hasa kwa wale wa Dar es Salaam... jiji la fujo. Nasema haya kwa kuwa yamenikuta... Ni heri ningenunua kiwanja mkoani kwetu, maana pesa niliyoitumia huku, kwa kule ningepata kiwanja karibu na mjini na kilichopimwa kabisa. Na pesa niliyoitumia kujenga kwa Dar, kwa kule ningejenga nyumba kali na ingepata mpangaji chapu na kuanza kula kodi. Huku Dar ningeishia kupanga tu, maana sio kwa hasara hii.

Hebu fikiria, nilijiona mjanja nikanunua kiwanja Chanika kwa zoo, nikajisemea moyoni hakuna kwako mbali... Hahahaha! Kilichonipata, sasa nakaribia kunyoosha mikono juu... Kila siku ili nifike mishe mishe lazima niamke saa 9 za usiku, nikwee boda hadi stand, huku daladala hadi town 1,200; kwenda hiyo jumla 2,200. Na hapo nimebahatisha gari ya town, wakati mwingine natumia hadi 2,700. Kirudi inanilazimu kugeuka na gari pale Boma maana Machinga Complex hakupandiki ikifika saa 11 jioni... Gari inafika fulu nyomi, hapo natumia 1,900, jumla 4,100 kwa mwezi. Hapo hujala walau hata mlo mmoja na bado kufika nyumbani ni saa 4 au 5 usiku, unalala hoi.

Daah! Hapo nikamkumbuka rafiki yangu mmoja alisema, "Dar umeenda kutafuta, wekeza home; miaka inakwenda, miji inakua, Dar utapoteza pesa." Dooh! Nikakaza shingo, leo najifunza kwa njia ngumu, walahi!
Taabu zote hizo ni matokeo hasi yatokanayo na Kukosekana kwa Mipango-miji Bora na iliyo Madhubuti.
Serikali yoyote ile hapa duniani ambayo inakosea kujenga nchi kwa kuanzia na suala hili la Mipango-miji, KAMWE haitakuja kuweza katika kupanga Mpango mwingine wowote ule Halafu Mpango huo ukawa na matokeo bora na effective, Never happen!

Nchi ikishakosewa kwenye kupanga-miji almost nchi hiyo inakuwa tayari imekosea kwenye mipango mingine yote kabisa inayotaka kuipanga hapo baadaye.

Suala la Mipango-miji ndio Msingi imara wa kufanikisha mipango mingine yote kabisa katika nchi.
 
Nilikaa Chanika mwenyeji wangu alikua na gari. Nikabadili mtazamo, hakuna mahali ni mbali kama una usafiri. Na gharama hazikimbiwi tafuta namna ya kuongeza kipato kuzikabili.
Gharama zinakimbiwa sana tu, ujenzi wa mkoani hauwezi fananisha na dar. Na ujenzi pia unategemea factors tofauti tofauti.
 
Solution ni kujenga mkoani. Then Dar unapanga centre au karibu na eneo lako la kazi.

Hiyo nyumba ya mkoani unapangisha, then ukistaafu unaikarabati kidogo unazeekea huko.

There’s no point ya kujenga Dar.
 
Ulivyoandika chanika tu nikakudharau,mtu makini hawezi kuishi chanika
Mh Mpango anakaa huko kwa zaidi ya miaka 10. Na kwakwe ni mbele huko ukivuka Chanika mwisho. Tafakari yule mzee ni mtu makini au Lah?.
 
Inategemea umejenga wapi na mizunguko yako ya pesa.Unajenga mbweni unafanya kazi kurasini au mkuranga
Badly enough unataka udrive😂😂
 
Vijana wenzangu mnaojitafuta katika maisha, mkitaka kujenga, singatieni umbali na mahali mnapofanyia kazi, hasa kwa wale wa Dar es Salaam... jiji la fujo. Nasema haya kwa kuwa yamenikuta... Ni heri ningenunua kiwanja mkoani kwetu, maana pesa niliyoitumia huku, kwa kule ningepata kiwanja karibu na mjini na kilichopimwa kabisa. Na pesa niliyoitumia kujenga kwa Dar, kwa kule ningejenga nyumba kali na ingepata mpangaji chapu na kuanza kula kodi. Huku Dar ningeishia kupanga tu, maana sio kwa hasara hii.

Hebu fikiria, nilijiona mjanja nikanunua kiwanja Chanika kwa zoo, nikajisemea moyoni hakuna kwako mbali... Hahahaha! Kilichonipata, sasa nakaribia kunyoosha mikono juu... Kila siku ili nifike mishe mishe lazima niamke saa 9 za usiku, nikwee boda hadi stand, huku daladala hadi town 1,200; kwenda hiyo jumla 2,200. Na hapo nimebahatisha gari ya town, wakati mwingine natumia hadi 2,700. Kirudi inanilazimu kugeuka na gari pale Boma maana Machinga Complex hakupandiki ikifika saa 11 jioni... Gari inafika fulu nyomi, hapo natumia 1,900, jumla 4,100 kwa mwezi. Hapo hujala walau hata mlo mmoja na bado kufika nyumbani ni saa 4 au 5 usiku, unalala hoi.

Daah! Hapo nikamkumbuka rafiki yangu mmoja alisema, "Dar umeenda kutafuta, wekeza home; miaka inakwenda, miji inakua, Dar utapoteza pesa." Dooh! Nikakaza shingo, leo najifunza kwa njia ngumu, walahi!
Unalalamika nauli ya 4100/= of course Mimi nikitumia public transport huwa natumia nauli ya 8000*30 days

kila siku upo down town mishe mishe unapambana kwenda nauli bajaji 4000 kurudi 4000
Kula at least 2000 kwenda mbele Kodi ya meza nyumbani 10,000 at least kwenda mbele..
Bado hujanywa at least 5000 kila siku mzee

Ukizubaa town hutoboi 😇
 
Back
Top Bottom