Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Ni watu tena wanakijua kireno sana kuliko hao wapemba mkuu ndo mana nikasema vileKwani mmakuwa na mmakonde sio watu?Kabila kubwa hizo.
Una AKILI timamu lakini..!?Safi sana, ngoja apepee bendela ya tz
Kwani mmakonde chio ntu?Kwani mmakuwa na mmakonde sio watu?Kabila kubwa hizo.
Hongera awe tu makini awapo likizo kuna kina Wema Sepetu hawachelewi