Kijana Mtanzania anayeichezea Timu ya Taifa ya Ureno(U-17)

Kijana Mtanzania anayeichezea Timu ya Taifa ya Ureno(U-17)

mimi pia nachezea Ujerumani U 17,TFF hawajafika dau la kunishawishi niachane na Ujermani yangu bana🙂🙂😉😉😎😛
 
Manji nasikia baada yqa kukopeshwa Yanga bila senti,ana mipango kumshawishi aichezee Yebo fc..ha ha ha ha..
 
Kuna Said Mhando Carte Mzanzibari Anacheza Brescia Na Kapewa Namba 16. Wako Serie B,Ni Timu Aliyochezea Pirlo Kabla.
Anataka Kuchezea Tz.
Ukijumlisha Huyo Na Samata Na Adi Wa Crawley Town Na Ulimwengu Atleast Tunaweza Kujidai.
 
Back
Top Bottom