Kijana mwenye asili ya Tanzania aliyejiua kwa kujipiga risasi Marekani azikwa kijeshi

Kijana mwenye asili ya Tanzania aliyejiua kwa kujipiga risasi Marekani azikwa kijeshi

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
9,140
Reaction score
15,963
Kijana mwenye asili ya Kitanzania ambae alikuwa mwanajeshi huko Marekani ambae alijipiga risasi risasi wiki iliyopita na kufa hapo hapo amezikwa kwa heshima za kijeshi huko Los Angeles nchini Marekani.

Kijana huyo ameacha mke ambae walioana miaka mitatu iliyopita.

Hata hivyo haijajulikana sababu haswa ya kijana huyo kujiua kwa kuwa hakutoa taarifa ya kinachomsumbua kwa mama yake, mdogo wake wala mkewe ambao wanaishi wote huko marekani.

Hapa chini mkewe akiongea
 
 
 
Dah! Kibongo bongo askari akijiua hazikwi kijeshi imekuaje uko kwa wenzetu wanatoa heshima zote za kijeshi
 
Dah! Kibongo bongo askari akijiua hazikwi kijeshi imekuaje uko kwa wenzetu wanatoa heshima zote za kijeshi
 
Hakuna kijana wa kitanzania anaeweza kuwa mwanajeshi huko USA. Mtu akishafikia hatua ya kuwa jeshi, au mwanajeshi huko Marekani au kwengineko, basi anatakiwa kuitwa mwanajeshi wa Marekani mwenye asili ya Tanzania. By the way pole kwa wafia, r.i.p US solder.
 
Kwanini azikwe huko?
Kusafirisha maiti toka state hadi bongo ni dola elfu kumi., na jeshi la huko lina mamlaka ya kugharamia maziko endapo atazikwa huko nje ya hapo jeshi halihusiki. Ndo mana akazikwa huko
 
Kusafirisha maiti toka state hadi bongo ni dola elfu kumi., na jeshi la huko lina mamlaka ya kugharamia maziko endapo atazikwa huko nje ya hapo jeshi halihusiki. Ndo mana akazikwa huko
Unatulisha ufyade huyo ni Mmarekani mwenye asili ya huku OVER.
Wapo watu kibao tu wameondoka Tanzania 2019 na hawana mpango wa kurudi huku kwa kifupi ndio hivyo tena
 
Back
Top Bottom