Kwamfano ukimpata leo ndoa itakuwa lini?Nawasalim,
heading yangu inajieleza wapendwa.
Kwa kifupi,
Umri wangu ni 32
Mkristo
Mfanyakazi
Elimu ni degree.
Haja ya moyo wangu,Natafuta mdada awe ubavu wangu ili tutengeze familia bora.
Sifa zake:
Awe mkristo
Elimu angalau kuanzia diploma.
Umri 26 na kuendelea.
awe ameajiriwa au amejiajir
mwenye moyo wakusamehe,asiwe mlevi,mpenda starehe.
Awe mpenda maendeleo na mcha mungu.
Naimani mungu atamleta mtu sahihi.ahsanteni
nenda google andika Badoo utapaona.ndio wapi huko mkuu
Usinisahau temegeane mkuuukimpata na mie nimegee kidogo
Kwa umri wako uliotaja hukuwahi kuwa na social interaction ukakutana na binti yeyote hadi uje kutafuta huku? Umechezea mabinti wangapi? Na ni wangapi uliowatapeli kuwaoa?nadhan hili ni suala la mipango yetu wawili,kwakuwa pia tutahitaji kufahamiana tabia hatutakurupuka tu kwenye ndoa.now days watu wana fake sana life.so inahitaji pia kujijua tabia
Utanifaa nataka kibinti kidogo dogoMimi Nina miaka 18 VIP siwezi kufikiliwa?
DaaahHapana,itakuwa ngumu.
Hahaha mbona hujaweka tangazo?Utanifaa nataka kibinti kidogo dogo
Si kila social interaction inayokuzunguka unaweza pata mke,mke au mume anaweza patikana mahala kokote ilimradi awe sahihiKwa umri wako uliotaja hukuwahi kuwa na social interaction ukakutana na binti yeyote hadi uje kutafuta huku? Umechezea mabinti wangapi? Na ni wangapi uliowatapeli kuwaoa?
How far neno usahihi utaliproof kwa kutafuta dating za kwenye mitandao? Uko insaneSi kila social interaction inayokuzunguka unaweza pata mke,mke au mume anaweza patikana mahala kokote ilimradi awe sahihi
Nimedoea tangazo ....nikaona na mimi nijipatie jikoHahaha mbona hujaweka tangazo?