Kijana mwenzako natafuta mke

Kijana mwenzako natafuta mke

Mr Big

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2019
Posts
479
Reaction score
922
Nawasalim,
heading yangu inajieleza wapendwa.
Kwa kifupi,
Umri wangu ni 32
Mkristo
Mfanyakazi
Elimu ni degree.
Haja ya moyo wangu,Natafuta mdada awe ubavu wangu ili tutengeze familia bora.
Sifa zake:
Awe mkristo
Elimu angalau kuanzia diploma.
Umri 26 na kuendelea.
awe ameajiriwa au amejiajir
mwenye moyo wakusamehe,asiwe mlevi,mpenda starehe.
Awe mpenda maendeleo na mcha mungu.
Naimani mungu atamleta mtu sahihi.ahsanteni
 
Nawasalim,
heading yangu inajieleza wapendwa.
Kwa kifupi,
Umri wangu ni 32
Mkristo
Mfanyakazi
Elimu ni degree.
Haja ya moyo wangu,Natafuta mdada awe ubavu wangu ili tutengeze familia bora.
Sifa zake:
Awe mkristo
Elimu angalau kuanzia diploma.
Umri 26 na kuendelea.
awe ameajiriwa au amejiajir
mwenye moyo wakusamehe,asiwe mlevi,mpenda starehe.
Awe mpenda maendeleo na mcha mungu.
Naimani mungu atamleta mtu sahihi.ahsanteni
Kwamfano ukimpata leo ndoa itakuwa lini?
 
Kwamfano ukimpata leo ndoa itakuwa lini?
nadhan hili ni suala la mipango yetu wawili,kwakuwa pia tutahitaji kufahamiana tabia hatutakurupuka tu kwenye ndoa.now days watu wana fake sana life.so inahitaji pia kujijua tabia
 
nadhan hili ni suala la mipango yetu wawili,kwakuwa pia tutahitaji kufahamiana tabia hatutakurupuka tu kwenye ndoa.now days watu wana fake sana life.so inahitaji pia kujijua tabia
Kwa umri wako uliotaja hukuwahi kuwa na social interaction ukakutana na binti yeyote hadi uje kutafuta huku? Umechezea mabinti wangapi? Na ni wangapi uliowatapeli kuwaoa?
 
Kwa umri wako uliotaja hukuwahi kuwa na social interaction ukakutana na binti yeyote hadi uje kutafuta huku? Umechezea mabinti wangapi? Na ni wangapi uliowatapeli kuwaoa?
Si kila social interaction inayokuzunguka unaweza pata mke,mke au mume anaweza patikana mahala kokote ilimradi awe sahihi
 
Si kila social interaction inayokuzunguka unaweza pata mke,mke au mume anaweza patikana mahala kokote ilimradi awe sahihi
How far neno usahihi utaliproof kwa kutafuta dating za kwenye mitandao? Uko insane
 
Back
Top Bottom