Tetesi: Kijana mweusi aibuka na kudai yeye ni mtoto wa Bill Clinton, adai kufanyiwa DNA

Tetesi: Kijana mweusi aibuka na kudai yeye ni mtoto wa Bill Clinton, adai kufanyiwa DNA

Jamani msitake kumzulia kijana wa watu, madai haya yalikuwepo kwa miaka mingi tu hata kabla ya Clinton a jawa Rais - mleta mada aneweka picha mbili tu lakini mimi niliwahi kuona picha zaidi ya ishirini tangu yupo mtoto mdogo mpaka utu uzima, huyu kijana anamfanana sana Clinton kwa sura tofauti ni nywele na kwa mbali ragi ya ngozi - lakini mambo mengine ni copyright kabisa. Na mama yake alieleza walivyo kutana na Clinton wakati huo akiwa na Governor wa Arkansas.

Picha zipo nyingi sana na hizi ni baadhi:
images
images
images
 
Huyu bill Clinton ni kama rais Fulani wa africa ambae mstaafu kwa sasa.huyu jamaa alizaliwa bila kichwa akawekewa dAfu baadae akawa rais huko africa kusini mwa jangwa la sahara
 
Ingawa kipindi cha uchaguzi kuna mambo mengi yanaibuka, ni lazima kuwa waangalifu katika kupokea taarifa na kuzifanyia kazi. Mzee Clinton anaweza kujitokeza na kupima DNA ili kuupata ukweli.
Hilo suala Clinton uwa analikwepa sana!! Siku moja waliwahi kudai kwamba sample zilikuwa contaminated kwa hiyo majibu ni fifty fifty hawajui ukweli ni hupi hasa - we fikiria watu walivyo wa ajabu, hata kusema warudie tena kuchukua sample ili wazipime upya ilishindikana.

Watu wengine walimshauri huyo kijana na mama yake kwamba wamuombe Monica Lewinsky awapatie skirt aliyo dai Clinton aliacha sample za mbegu zake wakati wanafanya
mambo ya oral Se..., ili wazipeleke jwenye vipimo.vya DNA - sasa sijui Monica aliwajibu nini?

Madai ya kijana huyu na nama yake yalianza muda mrefu, wapambe wa Hillary wasitake kumsingizia Trump wa watu, Hillary ndiyo alivyo hasipo lahumu/singizia Putin na Urusi ana mlahumu Trump!

Niliwahi kusoma somewhere miaka ya nyuma, kijana huyo alikuwa analalamika kwamba alipo kwenda kujaribu kutembelea family ya Clinton Hillary alipo muona kijana huyo alibamiza mlango kwa nguvu hakutaka kuona sura yake!
 
Huyu bill Clinton ni kama rais Fulani wa africa ambae mstaafu kwa sasa.huyu jamaa alizaliwa bila kichwa akawekewa dAfu baadae akawa rais huko africa kusini mwa jangwa la sahara
Nilidhani unaongelea wa hapa Bongo kumbe Sauzi!!?? Utashangaa hawa watoto wa kuchepuka walivyojikopi. Ila uzuri wa Afrika haya mambo hayana mashiko tunaona ya kawaida sana, kwa wenzetu ni gumzo wakati sisi watoto ni mtaji.
 
Hilo suala uwa analikwepa sana!! Siku moja waliwahi kudai kwamba sample zilikuwa contaminated kwa hiyo majibu ni fifty fifty hawajui ukweli ni hupi hasa - we fikiria watu walivyo wa ajabu, hata kusema warudie kuchukua sample ili wazipine upya ilishindikana. Watu wengine wajandgauru huyo kijana na,mama yake kwamva,wamuombe Monica Lewinsky awapatie skirt aliyo dai Clinton aliacha sample za mbegu zake wakati wanafanya
mambo ya oral Se..., sasa sijui Monica aliwajibu nini? Mambo haya yalianza muda mrefu, wapambe wa Hillary wasitake
Jamaa anazuga ila ukweli utabaki kama ulivyo
 
Chotara maana yake ni mchanganyiko wowote ule wa rangi tofauti, hivyo kama Baba yake ni Mzungu na Mama yake ni mweusi basi ni Mchotara wa Kiafrika na Kizungu!
Bado haujaacha tu chuki zako dhidi ya watu aina ya akina Obama? Maana sijui walikufanya nn watu wa aina hii?!
 
Huenda kweli aisee! Dogo kwa asilimia fulani hivi naiona sura ya Clinton usoni mwake
 
Alikuwa wapi "babake" alivyokuwa Rais?
Au ndo kumpenda zaidi mama wa kambo kuliko baba.
 
Back
Top Bottom