Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Huyu jamaa anayejiita Kijana Mzalendo amethibitisha uzalendo wake kwa kuweka siasa za maji taka pembeni na kujikita kwenye siasa za Tija.
Ameongea mambo mengi Muhimu sana kuhusu siasa za Tanzania lakini moja ktk mahojiano yake yamevuta Attention Kubwa Nchini.
Kwanza izingatiwe kuwa huyu si Mwanachama wa vyama vya upinzani bali ni CCM Damudamu.
Miongoni mwa Yale aliyohight ni kama ifuatavyo.
1. Tundu Lissu ni Jabali la siasa na Game Changer kwa sasa. Ni mzalendo.
2. Heche ni Mwanasiasa za Kizalendo na Mtetezi wa Rasilimali za Umma na Taifa
3. Tundu Lissu alithibitisha kile alichoamini na kushauri enzi za Makinikia pale Taifa liliposhtakiwa na kushindwa hadi kulipa faini ya mabilioni ya Kodi za Wananchi.
4. Tundu Lissu ni Mwanasiasa peke ndani ya Upinzani, ccm na hata serikali anayeweza kukemea Rushwa hadharani kwani hana Harufu wala dosali ya rushwa. Anajiamini.
5. Heche ni Mkali mwenye Busara, Upendo na anaipenda Nchi yake.
6. Tundu Lissu ni Mwanasheria aliyebobea na kujua kutumia taaluma yake kwa ajili ya Wananchi.
7. Tundu Lissu alipigwa risasi kutokana na uzalendo na misimamo yake.
8. Tundu ataimarisha upinzani, ccm na serikali pia vitafanya kazi.
9. Wabunge wa ccm hawana msada bungeni. Kila kitu kwao ni ndiyo tu. Hawana mtu wa kuwaamsha. Wako kwa maslahi yao tu.
Mwisho kabisa Tundu Lissu anafaa kuww Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
View: https://youtu.be/Hip7RunpX8Y?si=Dru3yL0s6Nwl7xyg
Anamalizia kwa kusema Vyama vya siasa ni taasisi za umaa vinatumia Ruzuku Pesa za Walipa Kodi si vibaya kuvifatilia hata kama sio mwana chama wa chama.
Ni mali zetu hatufungwi kuviongelea.
Ameongea mambo mengi Muhimu sana kuhusu siasa za Tanzania lakini moja ktk mahojiano yake yamevuta Attention Kubwa Nchini.
Kwanza izingatiwe kuwa huyu si Mwanachama wa vyama vya upinzani bali ni CCM Damudamu.
Miongoni mwa Yale aliyohight ni kama ifuatavyo.
1. Tundu Lissu ni Jabali la siasa na Game Changer kwa sasa. Ni mzalendo.
2. Heche ni Mwanasiasa za Kizalendo na Mtetezi wa Rasilimali za Umma na Taifa
3. Tundu Lissu alithibitisha kile alichoamini na kushauri enzi za Makinikia pale Taifa liliposhtakiwa na kushindwa hadi kulipa faini ya mabilioni ya Kodi za Wananchi.
4. Tundu Lissu ni Mwanasiasa peke ndani ya Upinzani, ccm na hata serikali anayeweza kukemea Rushwa hadharani kwani hana Harufu wala dosali ya rushwa. Anajiamini.
5. Heche ni Mkali mwenye Busara, Upendo na anaipenda Nchi yake.
6. Tundu Lissu ni Mwanasheria aliyebobea na kujua kutumia taaluma yake kwa ajili ya Wananchi.
7. Tundu Lissu alipigwa risasi kutokana na uzalendo na misimamo yake.
8. Tundu ataimarisha upinzani, ccm na serikali pia vitafanya kazi.
9. Wabunge wa ccm hawana msada bungeni. Kila kitu kwao ni ndiyo tu. Hawana mtu wa kuwaamsha. Wako kwa maslahi yao tu.
Mwisho kabisa Tundu Lissu anafaa kuww Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
View: https://youtu.be/Hip7RunpX8Y?si=Dru3yL0s6Nwl7xyg
Anamalizia kwa kusema Vyama vya siasa ni taasisi za umaa vinatumia Ruzuku Pesa za Walipa Kodi si vibaya kuvifatilia hata kama sio mwana chama wa chama.
Ni mali zetu hatufungwi kuviongelea.