MwajabuOmary
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 384
- 418
Tabia zote hizi zimesababishwa na mfumo uliopo kwamba ukiwa mnafiki unapata cheo. Ungekuwa na akili timamu ungejibu hoja za Lissu na sio kutuletea uchawa wenye viashiria vya unafiki wa kutaka madaraka.