Tabia zote hizi zimesababishwa na mfumo uliopo kwamba ukiwa mnafiki unapata cheo. Ungekuwa na akili timamu ungejibu hoja za Lissu na sio kutuletea uchawa wenye viashiria vya unafiki wa kutaka madaraka.
Kijana mzalendo David Nkindikwa amepinga vikali kauli ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) chini ya Mwenyekiti wake ngazi ya taifa Tundu Lissu kuhusu msimamo wa "No Reform, No Election", inayoashiria kuwa hakutakuwa na uchaguzi bila mageuzi ya mfumo wa uchaguzi, akisisitiza kuwa uchaguzi lazima ufanyike kwa mujibu wa Katiba ya nchi.
Nkindikwa amesema ingawa anaunga mkono madai ya maboresho ya mfumo wa uchaguzi, kupinga kufanyika kwa uchaguzi ni sawa na kuvunja Katiba, ambayo inaelekeza kuwa uchaguzi lazima ufanyike kwa mujibu wa ratiba iliyopangwa kikatiba.
Kijana mzalendo David Nkindikwa amepinga vikali kauli ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) chini ya Mwenyekiti wake ngazi ya taifa Tundu Lissu kuhusu msimamo wa "No Reform, No Election", inayoashiria kuwa hakutakuwa na uchaguzi bila mageuzi ya mfumo wa uchaguzi, akisisitiza kuwa uchaguzi lazima ufanyike kwa mujibu wa Katiba ya nchi.
Nkindikwa amesema ingawa anaunga mkono madai ya maboresho ya mfumo wa uchaguzi, kupinga kufanyika kwa uchaguzi ni sawa na kuvunja Katiba, ambayo inaelekeza kuwa uchaguzi lazima ufanyike kwa mujibu wa ratiba iliyopangwa kikatiba.
Na kwa Lissu na Heche upele uko kwa mkunaji, sasa watajua kuwa hawajui.
Ni juu yetu kuwa support tu wasichoke kutuongoza haya mapambano.
Samia anayefurahia mapokezi watu kuwa wengi inaonyesha hatambui kabisa kuwa wingi huo una siri nyingi nyuma yake na wasaidizi wake wanamchezea kama mdoli badala ya kumwambia ukweli siri ni nini!
Inachekesha sana