Kijana najituma sana kwa huyu mama, lakini bahili!

huyo siyo kwanza cha turin,mke wa mtu na bado hachezeshi!mtupe tu!kuna dada zako mitaa flani wakali,siyo wazee,kisu kipo halafu full kuchezesha kama sura mauzo na body mwake ni PM nikutupie mmoko!
Duh kweli maisha bora kwa kila mtanzania
 
Nyani Ngabu said:
Alaaa!! Basi komaa mwana. Ongeza juhudi katika mambo ya sita kwa sita, kuwa 'romantic' zaidi, na mfurahishe kwa lolote atakalo na utafikia malengo yako. Hilo jimama ni fursa ya dhahabu!
NN, bundle ikiisha nishtue mkuu, 2mtoe kijana
 

Wewe hasa huna haya ukisikia kuna wanaume na magumegume ndio hayo kwani wakati mnatongzana ulimwambia kua unafanya kazi yakumfurahisha ili akulipe au ulienda kwa njaaa yako? yani Mama mwenye 55-60 yrs wewe unamchungulia huogopi? au wewe unamiaka mingapi?
kwanini hutafuti someone your size mkajidai kwenye ulimwengu wa huba, acha tamaa ya fisi tafuta kazi ufanya mtoto wakiume wewe a kama unasubiri upewe utapewa nyingi sana mumewe akijua,,
 
wewe ni chadema
 

Mwambie babu seya akuwekee makazi huko aliko. umechoka kuishi huku wewe.
Dah, kumbe style machangu wa kiume wapo!
 
<b>wewe ni chadema</b>
<br />
<br />
Beibii kama umekosa cha kuchangia si uache tu jamani. Kwani kila anayeshinda jukwaa la siasa ni chadema? Mfano faiza fox,mwita25. Acha kufikiria kimasaburi saburi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…