Ungempa kabisa masharti kabla na yeye angejua kama uko kibiashara zaidi kuliko kusubiria miezi yote hiyoKi ukweli sikumwinda, ila yeye alishoboka mwenyewe tu na body yangu....nakumbuka tulikutana supermarket moja hivi hapa mjini kila mtu akiwa amekuja hapo ki vyake. Kuhusu pesa,hilo si la kuuliza mkuu! hivi mtu mzima kama huyu why anitumie bure? ni lazima akate mkwanja wa maisha ili tuende sawa. Simng'ang'anii ila yeye ndiye ananing'ang'ania sana na ananipenda kupita maelezo.
Alishoboka ? hahaha! tayari neno hili limetueleza umri wako lol! dogo kama husomi na hauna kazi kuna rafiki kaniambia Holiday inn wanahitaji waosha vyoo na hela sio mbaya na utaendelea na kazi hii ya kuwa malaya wa kiume kwa kujiuza kwa kinamama wa kizungu huwezi juwa wawili wamesha chukuliwa na vibibi vya kizungu wako Ulaya,si mnasemaga afadhali kuzaliwa mbwa ulaya badala ya kuwa Mbongo hahaha!...ila yeye alishoboka mwenyewe tu na body yangu....
Ni sawa, lakini mara nyingi munapoanza hisia za mahusiano ya kimapenzi hamuwezi kudiscuss kitu kama hicho! nafikiri hata yeye angenishangaa sana.Ungempa kabisa masharti kabla na yeye angejua kama uko kibiashara zaidi kuliko kusubiria miezi yote hiyo
Hapo kwenye bold mkuu! ni kitu gani usichoelewa hapo? Hivi ukiongea kiswaslang basi wewe ni muhuni na hauna kazi? we ujaona watu wadred rocks kichwani na wanafanya kazi kwenye maofisi ya nguvu? ujaona kule Arusha na mbeya wananchi walivyowachagua mtu kama Mr 2 na yule diwani wa Arusha? uko dunia gani mkuu? Kuhusu wazungu (mie huwa napenda kuwaita vishuka) ukweli vishuka walikua wanalipa zamani lakini si sasa!, nao sasahivi wamekuwa wabongo pure, huko kwao wamekimbia maisha magumu alafu unategemea hapa atakusaidia nini wakati na yeye choka mbaya kama mimi? ki ufupi sina mzuka na vishuka. Kama wewe unaona vishuka ndiyo everything basi hiyo ni kwako,kwangu ni takataka tuAlishoboka ? hahaha! tayari neno hili limetueleza umri wako lol! dogo kama husomi na hauna kazi kuna rafiki kaniambia Holiday inn wanahitaji waosha vyoo na hela sio mbaya na utaendelea na kazi hii ya kuwa malaya wa kiume kwa kujiuza kwa kinamama wa kizungu huwezi juwa wawili wamesha chukuliwa na vibibi vya kizungu wako Ulaya,si mnasemaga afadhali kuzaliwa mbwa ulaya badala ya kuwa Mbongo hahaha!
Sasa unaanza kujichanganya,unasema kwa siri kubwa mbona mwanzo umesema mnaenda Zenj kule Nungwi sasa hapo usiri uko wapi ? akikutana na wanaomfahamu kwenye usafiri au hotelini inakuwaje ? nimeanza kuamini hii stori ni ya kufikirika lakini sio mbaya kwakuwa mambo haya hutokea katika jamii.Ni sawa, lakini mara nyingi munapoanza hisia za mahusiano ya kimapenzi hamuwezi kudiscuss kitu kama hicho! nafikiri hata yeye angenishangaa sana.Na hapo kwenye bold....si kuwa tunaonana mara kwa mara,kwa mwezi tunaweza onana mara 2 au haizidi 3,tena kwa siri kubwa sana.
<br /><br /><br />
<br /><br />
Bht huyu mshikaplastiki anawadangaya watu kwa stori za kutunga
<br />It does not matter kama story ni kweli au ya kutunga, hata kama si mkweli kwake, kaleta idea na watu wana i discuss, si ajabu kutokea kwa wengine.<br />
<br />
Ingekuwa kila kitu kinachosemwa ni lazima kiwe personal experience kusingekuwa na mi Pulitzer ya literature.
Mkuu hii story ni ya kweli! amini maneno yangu!. Anywayz hapo kwenye Nungwi nafikili niliteleza ulimi! nafikiri nitamwambia mama tubadili hotelSasa unaanza kujichanganya,unasema kwa siri kubwa mbona mwanzo umesema mnaenda Zenj kule Nungwi sasa hapo usiri uko wapi ? akikutana na wanaomfahamu kwenye usafiri au hotelini inakuwaje ? nimeanza kuamini hii stori ni ya kufikirika lakini sio mbaya kwakuwa mambo haya hutokea katika jamii.
<br /><br /><br />
<br /><br />
<br />
Mwache siku ashikishwe mabua ndo atatia akili, mwenzie Nyeti yake imekuwa chopped kwa mambo haya haya ya kudandia vya wenyewe.<br />
<br />
Btw: wanawake si wako wengi? Sasa kwa nn mnabanana kwa wake za watu?
Hapo hakuna mapenzi pesa tu inatawala...JE ukisikia mimi nakumegea mkeo utafurahi???mla cha mwenzie na chake uliwa ati....TaFaKaRi kisha chukua hatua
Mkuu acha hizo! kwani tatizo liko wapi? kijana mwenzio napata ushauri hapa,nawe pia waweza tia neno lako. Hata hivyo ahsante sana<br />
<br />
Naona watu mnaendelea kutoka povu, Kazi ni Kwako
kamanda hata jukwaa la Siasa napendekeza wamfungie asiweze kupost,mtu anayekubali kuwa malaya wa kiume tena kwa mama wa over 60 ataleta mawazo gani yenye manufaa kwa Tanzagiza ?
Pili jina alilochagua kulitumia hapa linaashiria mwisho wake mbaya,Mshikachuma angalia lilivyofanana na usemi mpya uliobadili ule wa kushikishwa ukuta,siki hizi wanaita KUSHIKISHWA BATI-yaani paa la nyumba.
Mshikachuma nakuhakikishia kuwa kwasababu mume wa huyu mama atakuwa over 65 akigundua uhusiano huu ni dhahiri hataweza kukushugulikia mwenyewe lakini kuna uwezekano mkubwa akakodisha kundi la wahuni ambao mziki wao hautausahau maishani mwako.
Wellah welllaaaaah!!! Ngabu nyani! yaani nimeipenda comment yako kupita maelezo!...yaani nashangaa baadhi ya watu wanavyonishambulia hata bila kuangalia upande wa pili wa shilingi! utasema huyo mama mimi namshikia bunduki au kisu!Hebu acheni kumuandama jamaa peke yake. Huyo adaiwaye ni mke wa mtu naye ni mgawaji ambaye hafai kuwa na sifa ya mke. Je yeye hamuoni uchafu wake (kama ni kweli)?
Mwanamke umeolewa...na katika haya mambo ya kutiana mwanamke ndo mwenye uamuzi wa mwisho ukiondoa kubakwa....sasa kwa nini wewe mke wa mtu umeolewa unakubali kwa hiari yako kummanulia mwanaume mwingine halafu watu wamuone 'yeye' tu yule anayekutia?
Sipendi kabisa hii tabia ya kuwapa pass hawa wanawake wanaotiwa kwa hiari zao halafu lawama zinamwendea mwanaume peke yake.
Kama si Mshikachuma huyo mwanamke angetombwa tu na mwanamme mwingine au wengine kama hafanyi hivyo tayari. Hasara tupu mtu ukiwa mke wa hivyo.
Wellah welllaaaaah!!! Ngabu nyani! yaani nimeipenda comment yako kupita maelezo!...yaani nashangaa baadhi ya watu wanavyonishambulia hata bila kuangalia upande wa pili wa shilingi! utasema huyo mama mimi namshikia bunduki au kisu!