Confession
JF-Expert Member
- Mar 30, 2019
- 669
- 2,309
Unazuia through throwing your bitternerss on me. Sorry to say this but upo delusionalHuyo gay activist asingekuwepo wewe usingekua shoga I think mna share common interest. Tafadhali usikasirike ni katika kuzuia jamii yetu isiharibie zaidi.
Wewe ulizaliwa "Mwanaume", kwa kuchagua mwenyewe ukiwa above 18 ukaamua kuwa "gay".Am I entitled to make sense to you and by the way do you think every gay is a slut or alikuwa molested at a young age, and Calling it ulemavu it depends on what ulemavu means to you
If having anal sex with a woman, 3 somes, blow jobs and masturbation which are all against normal sex routines ni ulemavu. Then we can talk
You miss my point . Again gay and gay activist shares common interests . Halafu kwa namna tu unavolijadili hili suala ni kama unaongelea jambo la kawaida kabisa that's how you trying to push the agendaSo gays ni 1000 kwa 1000 or and I'm not a gay activist and I'm not here to push any agenda, if I'm hitting your insecurity, fear or rage button that's on you john
Pushing the agenda what does it even meanYou miss my point . Again gay and gay activist shares common interests . Halafu kwa namna tu unavolijadili hili suala ni kama unaongelea jambo la kawaida kabisa that's how you trying to push the agenda
No natamani sana haya mambo mngefanyia huko huko gizani kuliko kujitangaza hadharani .you spoiling our societyUnazuia through throwing your bitternerss on me. Sorry to say this but upo delusional
Stereotypes, have you ever asked yourself why some areas kama kinondoni, magomeni and the likes zina mashoga wengi,Uzungu ndio umewaaribu fatilia watoto wa kishua wengi ndio magasho
Your friend is feeling guilty and hopeless, he is not happy at all and maybe ana story anayotaka share but hawezi. As much as unavyomuhukumu he does the same to himself everyday
The society of saints auNo natamani sana haya mambo mngefanyia huko huko gizani kuliko kujitangaza hadharani .you spoiling our society
That's what I have been sayingTatizoo letu binadamu wengi kiukweli tuna hiyo hali ya kuhukumu bila kujua msingi wa MTU hadi kufikia hali ya kuua, au kufanya kitu chochote ambacho ni kinyume na mapenzi ya MUNGU na hatujua kadri tunavyowahukumu watu NDIVYO tunavyozidi kuwavunja mioyo yao na moyo Ndio kibebeo cha kila kitu
Hakuna aliyekamilika ila sote tunahesabu haki mbele za MUNGU kwa NEEMA yake tu wala si kwa matendo YETU
Ndio maana hata yule alieuludisha ufalme wa MUNGU tena ulimwengu alisema π
Mathayo
7.1 Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi
To whom are you addressing the Truth here at JF? Nani anataka kusikia hadithi za mambo yako hapa ?That's how you pushing it.Pushing the agenda what does it even mean
Guy deal with your insecurities cause I'm only speaking my truth and if you are not okey with it
That's your problem not mine
Reality checkSisapoti ushoga ila alichoongea Confession kama nimemuelewa, wengine wanaingia kwenye tabia hizi bila kupenda ila kutoka ndio kazi. Katoa mifano wapiga nyeto, wazee wa 3some, wasagaji, wazee wa anal sex mbona nyie mnashindwa kuacha mkishaingia?? Kwanini mnawaattack magay pekee while nyie mnafanya dhambi hizo zilizowashinda kuacha??? Note: sisapoti ushoga anymore.
Wewe ulitaka afanye nini gwajima ?Hali Inatisha kwa vijana kwa sasa. Ni janga la taifa na Dkt. Gwajima D anachekelea tu.
Am I the one nimeandika thread and why are you even here while title imejielezeaTo whom are you addressing the Truth here at JF? Nani anataka kusikia hadithi za mambo yako hapa ?That's how you pushing it.
Mau wa mjini mjiniiii π πPole sana mauzinde nasikia wamekukata masikio
Ndo maana sasa wazazi tujaribu sana katika kufuatilia malezi kwa karibu ya watoto wetu. Wamjuwe Mungu na kuwa na maadili mema ili kuepuka huo ushenzi. Maana huko mtaani wapo busy kuhakikisha watoto wanaharibika hii ni VITA ya kiroho.The society of saints au
Again you are delusional and the more mnashabikia anal sex with women. The worst is about to come cause it's easy a guy mpenda anal kujaribu na gays
The number is increasing rapidly and silently.
Ipo siku you will revisit my comment
Bro asikudanganye mtu chanzo kikubwa cha vijana kuingia huko ni kuporomoka kwa maadili katika jamii, wazazi kutowajibika katika malezi ya watoto wao. Unadhani kila mtu angekua amenyooka huko mtaani wangepata nafasi ya kueneza huo ufedhuli?Tatizoo letu binadamu wengi kiukweli tuna hiyo hali ya kuhukumu bila kujua msingi wa MTU hadi kufikia hali ya kuua, au kufanya kitu chochote ambacho ni kinyume na mapenzi ya MUNGU na hatujua kadri tunavyowahukumu watu NDIVYO tunavyozidi kuwavunja mioyo yao na moyo Ndio kibebeo cha kila kitu
Hakuna aliyekamilika ila sote tunahesabu haki mbele za MUNGU kwa NEEMA yake tu wala si kwa matendo YETU
Ndio maana hata yule alieuludisha ufalme wa MUNGU tena ulimwengu alisema π
Mathayo
7.1 Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi
Kabisa! Halaf anayeliwa ndo mbaya kabsaa watoto wachungwe.Ndo maana sasa wazazi tujaribu sana katika kufuatilia malezi kwa karibu ya watoto wetu. Wamjuwe Mungu na kuwa na maadili mema ili kuepuka huo ushenzi. Maana huko mtaani wapo busy kuhakikisha watoto wanaharibika hii ni VITA ya kiroho.